Nauza suruali za kadeti

Nauza suruali za kadeti

Maroon (damu ya mzee)
ed6a2a80f1045cacbceb57e8fe8278c7.jpeg
 
Sijawahi kununua kadeti ya 10 bei ndogo kabisa labda 20
Sawa ila pia unaweza vaa hata ya sh. 20k kuendelea lakini ikawa feki wengi wauzaji hawawezi kukuambia hii feki na kama hujizijui feki bado itakua tatizo
kwa uzoefu wangu kadet kama zangu mimi pia mvaaji zinachukua mwaka mmoja hadi miaka miwili
 
Morogoro kama unaenda kisaki, Vijiji vya dakawa, dhuthumi, Mvua kila Jmosi wanakuwaga na minada masokoni.. wasukuma wananunuaga, Tena hata bei ya 30,000 unauza... Kwenda kule nauli ni 15, Gesti 5-10 elfu, Unaweza ukawa unaenda Siku za Weekend unauza na kurudi... Stendi ya kwenda kisaki ipo Buguruni pale...
 
Morogoro kama unaenda kisaki, Vijiji vya dakawa, dhuthumi, Mvua kila Jmosi wanakuwaga na minada masokoni.. wasukuma wananunuaga, Tena hata bei ya 30,000 unauza... Kwenda kule nauli ni 15, Gesti 5-10 elfu, Unaweza ukawa unaenda Siku za Weekend unauza na kurudi... Stendi ya kwenda kisaki ipo Buguruni pale...
Asante kamanda, nitalifanyia kazi hilo
 
Nauzia online yaaani nakutumia sample ukizipenda au kama unazo unanitumia nakuletea Miss, karibu

Kingine inabidi uanze kuwa unauza kwa bundle,

Yaani kama unaweza kuuza kwa bundle la suruali 3 kwa bei poa ambayo huwezi kuipata kwa moja moja


Pia unaweza kuweka suruali za rangi zote na unatoa bei
 
Neno Original naona Limeingiliwa na wahuni Mimi Kadeti zangu nanunua

Tsh. 115,000/= hadi Tsh. 126,000/= Pale Woolworth na Springfield hizi fua Ufuavyo hazijuji Kizembe , sasa nashangaa mtu anasema kadet Original Sh. 23,000/= hii Ukiloweka kwenye maji kama ni nyeusi maji yatabadilika na Kuwa meusi inavyochuja.
Kila mtu ananunua kulingana na kiasi cha fedha alichonacho! Wewe fisadi una uwezo wa kununua hata chupi ya laki tatu kwahiyo usijifananishe na wengine! Ficha ujinga wako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom