dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
- Thread starter
- #301
Aina ya Jeep
Shikamooo
Za kuvutika zpoje.Zle kama modo??
Sijambo nmependa biashara hyo
Nashukuru karibu sana.Sijambo nmependa biashara hyo


Za kuvutika au zile zisizo vutika ?Bei gani Zara mkuu?
Og 23 na kawaida 25 mbona sijakuelewa vile all in all hizo zpo vzr sana!Wandugu nauza kadeti original tsh.23,000 za kawaida na tsh.25,000 za kuvutika nipo dar es salaam ukiwa dar nakuletea ulipo no yangu 0657438581 hizo ni baadhi ya kadet karibuniView attachment 547969View attachment 547970View attachment 547971View attachment 547972View attachment 547973
Soma vizur, kuna kadet aina mbili za kuvutika na zisizo vutika amabazo za kuvutika ni 25,000 na za kawaida namaanisha zisizo vutika ni 23,000 kama mvaaji kadet utakua umenielewa vizur zaidiOg 23 na kawaida 25 mbona sijakuelewa vile all in all hizo zpo vzr sana!
Wee taja ulipo watu tukuje kukagua mzigoWandugu nauza kadeti original tsh.23,000 za kawaida na tsh.25,000 za kuvutika nipo dar es salaam ukiwa dar nakuletea ulipo no yangu 0657438581 hizo ni baadhi ya kadet karibuniView attachment 547969View attachment 547970View attachment 547971View attachment 547972View attachment 547973
Kama nimekuelewa hizi za kuvutika ndo zile hazipauki haraka lakini za kawaida zinapauka nadhani. Hebu sema uko wapi nipitie kukagua mzigo nadhani nitahitaji nyeusi blue na khakiSoma vizur, kuna kadet aina mbili za kuvutika na zisizo vutika amabazo za kuvutika ni 25,000 na za kawaida namaanisha zisizo vutika ni 23,000 kama mvaaji kadet utakua umenielewa vizur zaidi
Hapana kadeti zangu zote ni original,hazipauki haraka tofautisha na zile za buku 10 za kariakoo wanazo weka chini machingaKama nimekuelewa hizi za kuvutika ndo zile hazipauki haraka lakini za kawaida zinapauka nadhani. Hebu sema uko wapi nipitie kukagua mzigo nadhani nitahitaji nyeusi blue na khaki
Nipo kinyerezi, ila mzigo nakua nao homeWee taja ulipo watu tukuje kukagua mzigo
Sawa nitafanya safari ya huko very soonNipo kinyerezi, ila mzigo nakua nao home
nahitaji.hii ya dam ya mzeee