mabala1990
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 213
- 143
na zara pia nahitaj nichek kama vip.nadhan unanikumbuka mkuu
na zara pia nahitaj nichek kama vip.nadhan unanikumbuka mkuu
Zara unahitaji rangi gan? Mr yeah nakukumbukana zara pia nahitaj nichek kama vip.nadhan unanikumbuka mkuu
Za kuvutika zpoje.Zle kama modo??
Za kuvutika ni kama za mpira mpira hivi, yaani ukikivuta kitambaa kinatanuka na ukikiachia kinarudi. Zisizovutika ukikivuta kitambaa chake hakitanuki, labda ukilazimisha sana uishie kuchana tu, ila vitambaa vya kadet hua ni vigumu.Kama nimekuelewa hizi za kuvutika ndo zile hazipauki haraka lakini za kawaida zinapauka nadhani. Hebu sema uko wapi nipitie kukagua mzigo nadhani nitahitaji nyeusi blue na khaki
dawa ya kupauka kadet, sidhani kama kuna dawa hiyo wala ya kupauka kwa nguo yoyoteHivi dawa ya kuzuia kupauka kadet ni nini?
Mi huwa naanika kwenye jua la saa kumi na moja jioni,mpaka asubuh zinakuwa zimekauka. Sianikagi kwenye jua kaliHivi dawa ya kuzuia kupauka kadet ni nini?
Ahsante kwa maarifa ,kuna muuza duka mmoja alisema hata ukipiga pasi geuza nje ndaniMi huwa naanika kwenye jua la saa kumi na moja jioni,mpaka asubuh zinakuwa zimekauka. Sianikagi kwenye jua kali
Kadet zimezidi Mkuu ,unaweza kununua suruali ya kitambaa sawa na kadet lakini ya kitambaa inaweza kudumu miaka minne ila ,kadet mwaka tu imepaukadawa ya kupauka kadet, sidhani kama kuna dawa hiyo wala ya kupauka kwa nguo yoyote
Niletee 3 za kawaida kwa Sh. 50K !!!
Ila utanifanyia kwa 23
Sawa! UnapataNataka za kuvutika nne
Niletee 3 za kawaida kwa Sh. 50K !!!
HaHAHA!! Sasa inatosha ngapi?!hiyo hela haitoshi comrade ukigawa hapo