Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 8,089
- 12,812
Hapo ndo umeharibu. Miaka minne???? Halafu unauza 450000 wewe uliinunua shngpi?Ndio na hata miaka 10 au zaidi na kwa sasa hazipatikani madukani muulize mtu atakwambia nokia x2 -02 ni habari nyingine mkuu hapa nimeshaitumia miaka minne ila hata kuguswa na fundi haijawahi.