Nauza simu yangu Nokia X2-02

Nauza simu yangu Nokia X2-02

Ndio na hata miaka 10 au zaidi na kwa sasa hazipatikani madukani muulize mtu atakwambia nokia x2 -02 ni habari nyingine mkuu hapa nimeshaitumia miaka minne ila hata kuguswa na fundi haijawahi.
Hapo ndo umeharibu. Miaka minne???? Halafu unauza 450000 wewe uliinunua shngpi?
 
Duh kumbe hadi wabantu hadi miji yenu inafanana kwa majina... Ila rombo imeendelea na inapendeza sijui huko geita... Ndipo uwanja Wa ndege Wa kimataifa unajengwa sio...Chatle international Airport
Mkuu hahaha mimi nipo ushirombo mambo ya chato hata siyajui.
 
Hapo ndo umeharibu. Miaka minne???? Halafu unauza 450000 wewe uliinunua shngpi?
Mkuu kama utakuwa mgeni wa simu za nokia unaweza kudhani itakufia mkononi kwa kuwa ina miaka 4 tangu niinunue , mkuu niliinunua laki 1 na elfu 15, 115000/=
 
Back
Top Bottom