Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,533
- Thread starter
- #21
Shukrani mkuu kwa mchango wako ila sina pingamizi juu ya uliyonena ila , thank you .Acha uongo mkuu hiyo ni 2g... Kwa ram ipi hadi iwe na net ya 3g
Shukrani mkuu kwa mchango wako ila sina pingamizi juu ya uliyonena ila , thank you .Acha uongo mkuu hiyo ni 2g... Kwa ram ipi hadi iwe na net ya 3g
Ningekuwa huko ushirombo ningekutafuta.Shukrani mkuu kwa mchango wako ila sina pingamizi juu ya uliyonena ila , thank you .
Nafikir umenielewa baada ya kueleweshwaMkuu mi nauza x2-02 na sio x2 kama unavyosema wewe , kumbuka kuna x2-01 na x2-02 sijui unamaanisha ipi?
Bei hiyo hiyo uliyoiweka ndio sahihi... Ucjar utapata mteja watu wanazikubali nokiaMkuu shukrani kwa yote uliyonena , hapa unanishauri niiuze kwa ngapi? Manake kama kuperuzi internet sio tatizo katika speed .
Bei hiyo hiyo uliyoiweka ndio sahihi... Ucjar utapata mteja watu wanazikubali nokia
Ubarikiwe kiongozi.Bei hiyo hiyo uliyoiweka ndio sahihi... Ucjar utapata mteja watu wanazikubali nokia
Ubarikiwe kiongozi .Ningekuwa huko ushirombo ningekutafuta.
Nipe namba yako inbox nikutafute kesho. Nitakua pande za k/kooMkuu shukrani kwa yote uliyonena , hapa unanishauri niiuze kwa ngapi? Manake kama kuperuzi internet sio tatizo katika speed .
nitumie numba yako inboxHabari za wakati huu wapendwa , binafsi nimeyumba kiuchumi hivyo nimeamua kuuza angalau simu yangu ili nipate pesa niizungushe nipate kiasi kikubwa zaidi , kama unahiitaji ni pm .
NOKIA X2-02 ni simu imara sana unaweza kuitumia takribani miaka 8 bila kuharibika kitu chochote na inatunza chaji kwa muda mrefu .
BEI NI 45000/= maongezi yapo.
Mkuu nimeshakutumia .nitumie numba yako inbox
Mkuu mimi nipo ushirombo , sipo dar .Nipe namba yako inbox nikutafute kesho. Nitakua pande za k/koo
Ni kweli yangu Asha 302 huu mwaka wa 5 na haijawahi SumbuaSimu unatumia miaka 8![]()
![]()
![]()
![]()
Simu za Nokia zinadumu sana na ni imara sana nadhani wengi tunalijua hilo.Ni kweli yangu Asha 302 huu mwaka wa 5 na haijawahi Sumbua
Ipo 25 Mkuu leo leo,Habari za wakati huu wapendwa , binafsi nimeyumba kiuchumi hivyo nimeamua kuuza angalau simu yangu ili nipate pesa niizungushe nipate kiasi kikubwa zaidi , kama unahiitaji ni pm .
NOKIA X2-02 ni simu imara sana unaweza kuitumia takribani miaka 8 bila kuharibika kitu chochote na inatunza chaji kwa muda mrefu .
BEI NI 45000/= maongezi yapo.
Sawa unapatikana wapi mkuu?Ipo 25 Mkuu leo leo,
Ipo Geita wilaya ya Bukombe mji wa ushirombo,Ushirombo ndio mkoa gani ipo? Ni tofauti na Rombo Kilimanjaro?
We Dola iddy laana za kumla mamako Mdogo zimeanza Kazi hata Kama alitaka mwenyewe umle
Picha mkuu condition yake ipojeHabari za wakati huu wapendwa , binafsi nimeyumba kiuchumi hivyo nimeamua kuuza angalau simu yangu ili nipate pesa niizungushe nipate kiasi kikubwa zaidi , kama unahiitaji ni pm .
NOKIA X2-02 ni simu imara sana unaweza kuitumia takribani miaka 8 bila kuharibika kitu chochote na inatunza chaji kwa muda mrefu .
BEI NI 45000/= maongezi yapo.
Mkuu haina hitlafu yoyote ipo kwenye hali nzuri, housing zake zinapatikana kiurahisi ila kwa kifupi haina tatizo lolote wala haijachoka.Picha mkuu condition yake ipoje
Ipo mkuu ni pm kwa mawasiliano zaidi.Kamanujquza IPO 30 njoo PM
Duh kumbe hadi wabantu hadi miji yenu inafanana kwa majina... Ila rombo imeendelea na inapendeza sijui huko geita... Ndipo uwanja Wa ndege Wa kimataifa unajengwa sio...Chatle international AirportIpo Geita wilaya ya Bukombe mji wa ushirombo,
Mkuu tuachane na hayo mambo , wakati wake umekwisha isha.