Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,074
- Thread starter
- #21
Bado ipo MkuuAisee simu bado ipooo?
Bado ipo MkuuAisee simu bado ipooo?
Top unanifanyia ngap au tukifanya exchange na a7 2016 nitaongezea sh ngap?Bado ipo Mkuu
Sasa nitaexchange S7 na A7 kweli? S7 ni flagship iyo A7 ni midrange...vitu viwili tofauti.Top unanifanyia ngap au tukifanya exchange na a7 2016 nitaongezea sh ngap?
Uko desperate sana weweRudi bushi kilaza wewe Na hilo Bomu lako la Samsung katupe bogus mkubwa
Rudi bushi kilaza wewe Na hilo Bomu lako la Samsung katupe bogus mkubwa
Huyu Jamaa yupo desperate anatukana watu ovyo.Umetumia lugha ya hasira, kwani ungepita kimya ingekuwaje?
Shallow kilaza relax.Rudi bushi maisha yamekupiga town
Huyo ana stress zake...maisha magumu..sasa ni shallow lawyer nimemchallenge huko ananifata kwnye uzi wangu...Umetumia lugha ya hasira, kwani ungepita kimya ingekuwaje?
Hehehehehe...duuuuh. Used ni 1.1m?-Ni used like brand new, maana toka siku ya kwanza hadi leo ipo kwenye screen protector na cover lake. Haina any scratches, haijapauka na ata mkwaruzo mmoja hamna.
Ni Duos, ina 32Gb internal memory. Specifications nyingine ni izo za Galaxy S7.
HAINA TATIZO LOLOTE na HAIJAWAI KUPIGWA SPANA. Ina Warranty ya 2yrs from Samsung East Africa..
nakupa na box lake, warranty card na risiti yangu mimi niliyonunulia. Pia unapata Charger yake Original (adaptive fast charging) na USB connector, earphones zilipotea.
Nauza kwa sababu binafsi, kufulia ikiwa mojawapo.
Bei ni 1.1M Tshs.
Karibuni wote.
N.B simu ni Original, haina tatizo lolote. Haijawai kupigwa spana ama kuguswa na mikono zaid yangu.
Sitaki ujanja ujanja na uswahili ndo mana nimetoa maelezo ya kutosha.
Ni strictly business.
We mchimba chumvi baki huko huko uvinza haya nambo huezi elewa.Hehehehehe...duuuuh. Used ni 1.1m?
Ikiwa mpya je? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We jamaa unaishi wapi aisee?
Usilete masihara na pesa za watu.
HahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaWe mchimba chumvi baki huko huko uvinza haya nambo huezi elewa.
Iyo 1.1M unaiona ni bilioni sio.
Ungekua mjini ningekuambia nenda kaulizie mpya bei gani....ila kwakua upo uvinza..pole.