Nombo de classic
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 286
- 380
Habari ndugu! Nimepata shida ya ghafla melazimika kuuza shamba langu lililoko Bagamoyo barabara ya kuelekea sadani.
Shamba nzuri ardhi ina faa kwa kilimo cha mazao mbali mbali pia haliko mbali na bara bara.
Shamba lina ukubwa wa hekari 34 kwa sasa ntauza hekari 24 tu. Sio lazima ununue hekari zote 24 hata Kama unahitaji hekari 3 au 4 ntakuuzia.
Bei ni Tsh 150,000/= tu kwa hekari
Mawasiliano: 0769272733
Sent using Jamii Forums mobile app
Shamba nzuri ardhi ina faa kwa kilimo cha mazao mbali mbali pia haliko mbali na bara bara.
Shamba lina ukubwa wa hekari 34 kwa sasa ntauza hekari 24 tu. Sio lazima ununue hekari zote 24 hata Kama unahitaji hekari 3 au 4 ntakuuzia.
Bei ni Tsh 150,000/= tu kwa hekari
Mawasiliano: 0769272733
Sent using Jamii Forums mobile app

mh! Hapo kuna mtu anacheza na akili zetu