Plot4Sale Shamba la miti ya cypress Geita na kiwanja cha makazi Chanika Dar Es Salaam vinauzwa

Gerco

Senior Member
Sep 11, 2016
154
62
1. Shamba la miti ya cypress lipo;
Mkoa: Geita
Wilaya: Geita
Kata: Bukondo
Kijiji: Lulama
Ukubwa: hekari 4 yenye miti ya miaka mitano
Bei:Tsh. 18,000,000/=
Eneo lote la shamba linafaa pia kwa kilimo cha ndizi na michungwa na mazao mengine Hakuna dalali pm me kwa aliye interested

2. Kiwanja cha makazi kipo chanika Dar Es Salaam mtaa wa kwa wambili-zogoali umeme na maji yapo
Ukubwa: mita 13/mita 13 au miguu 20/20
Bei :Tsh. 2,100,000/= Hakuna dalali pm me kwa aliye interested


IMG_20200518_180424.jpg
IMG_20200518_181253.jpg
IMG_20200518_181256.jpg
IMG_20200518_181736.jpg
IMG_20200518_180428.jpg
IMG_20200518_181803.jpg
 
Back
Top Bottom