Nauza senene kwa wanaotaka kununua

Jick

JF-Expert Member
Jan 15, 2014
1,205
1,793
Kwa mikoa ya Mwanza, Geita, pia Kahama, Nzega n.k

Kama unataka senene wailokaangwa kwa jumla ni PM
Nauza kuanzia nusu ndoo (lita10), ndoo nzima (Lita 20) na kuendelea

Bei nusu ndoo ni Tsh 90,000/=
Bei ndoo kubwa. Tsh 170,000/=

Karibuni sana PM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom