beautifulonyinye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 726
- 478
Habarini zenu wakuu, karibuni mjipatie dagaa safi wa kukaanga kutoka Mwanza,
Wana viungo vya kutosha, watamu sana, wana radha ya kipekee.
Tunapatikana Dar_ Ubungo, delivery zipo popote unaletewa, tunauza kwa jumla na rejareja.
Bei zetu ni rafiki sana, package zetu zinaanzia tsh 3,000 na kuendelea kwa rejareja, na kwa jumla tunaanzia kg 1 tsh 10,000, SADO tsh 22000, ndoo Ndogo 60,000 na ndoo kubwa 95,000.
Lakini pia tunauza sato fresh kabisa kutoka ziwani wanasafirishwa kwa ndege lakini ni kwa order maalumu ,ukiagiza leo unapata kesho mapema waliotoka kuvuliwa. Karibu uweke order yako.
Lakini hatujaishia hapo wale wapenzi wa vibambala hatujawasahau, vibambala vipo ila ni kwa order pia.
Bei zetu ni rafiki sana elf 12,000 na kuendelea unapata radha ya kipekee na unaenjoy na familia yako.
KARIBUNI SANA
mawasiliano piga/whatsapp : 0746095663
0712772975
View attachment 2680892
Wana viungo vya kutosha, watamu sana, wana radha ya kipekee.
Tunapatikana Dar_ Ubungo, delivery zipo popote unaletewa, tunauza kwa jumla na rejareja.
Bei zetu ni rafiki sana, package zetu zinaanzia tsh 3,000 na kuendelea kwa rejareja, na kwa jumla tunaanzia kg 1 tsh 10,000, SADO tsh 22000, ndoo Ndogo 60,000 na ndoo kubwa 95,000.
Lakini pia tunauza sato fresh kabisa kutoka ziwani wanasafirishwa kwa ndege lakini ni kwa order maalumu ,ukiagiza leo unapata kesho mapema waliotoka kuvuliwa. Karibu uweke order yako.
Lakini hatujaishia hapo wale wapenzi wa vibambala hatujawasahau, vibambala vipo ila ni kwa order pia.
Bei zetu ni rafiki sana elf 12,000 na kuendelea unapata radha ya kipekee na unaenjoy na familia yako.
KARIBUNI SANA
mawasiliano piga/whatsapp : 0746095663
0712772975
View attachment 2680892