Nauza dagaa nyama nono fresh kutoka Mwanza

beautifulonyinye

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
726
478
Habarini zenu wakuu, karibuni mjipatie dagaa safi wa kukaanga kutoka Mwanza,
Wana viungo vya kutosha, watamu sana, wana radha ya kipekee.

Tunapatikana Dar_ Ubungo, delivery zipo popote unaletewa, tunauza kwa jumla na rejareja.

Bei zetu ni rafiki sana, package zetu zinaanzia tsh 3,000 na kuendelea kwa rejareja, na kwa jumla tunaanzia kg 1 tsh 10,000, SADO tsh 22000, ndoo Ndogo 60,000 na ndoo kubwa 95,000.

Lakini pia tunauza sato fresh kabisa kutoka ziwani wanasafirishwa kwa ndege lakini ni kwa order maalumu ,ukiagiza leo unapata kesho mapema waliotoka kuvuliwa. Karibu uweke order yako.

Lakini hatujaishia hapo wale wapenzi wa vibambala hatujawasahau, vibambala vipo ila ni kwa order pia.
Bei zetu ni rafiki sana elf 12,000 na kuendelea unapata radha ya kipekee na unaenjoy na familia yako.

KARIBUNI SANA
mawasiliano piga/whatsapp : 0746095663
0712772975


View attachment 2680892
 
Dagaa hawa
IMG_20230627_201455_408.jpg
 
Habarini zenu wakuu, karibuni mjipatie dagaa safi wa kukaanga kutoka Mwanza,
Wana viungo vya kutosha, watamu sana, wana radha ya kipekee.

Tunapatikana Dar_ Ubungo, delivery zipo popote unaletewa, tunauza kwa jumla na rejareja.

Bei zetu ni rafiki sana, package zetu zinaanzia tsh 3,000 na kuendelea kwa rejareja, na kwa jumla tunaanzia kg 1 tsh 10,000, SADO tsh 22000, ndoo Ndogo 60,000 na ndoo kubwa 95,000.

Lakini pia tunauza sato fresh kabisa kutoka ziwani wanasafirishwa kwa ndege lakini ni kwa order maalumu ,ukiagiza leo unapata kesho mapema waliotoka kuvuliwa. Karibu uweke order yako.

Lakini hatujaishia hapo wale wapenzi wa vibambala hatujawasahau, vibambala vipo ila ni kwa order pia.
Bei zetu ni rafiki sana elf 12,000 na kuendelea unapata radha ya kipekee na unaenjoy na familia yako.

KARIBUNI SANA


View attachment 2680892
Nahitaji hao dagaa wanono nakupataje wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom