- Thread starter
- #21
Jitolee aiweke bondi kwako umpe hiyo yela akipata atakurudishia
Mbona nitashukuru!!!!!!!!!!!!
Jitolee aiweke bondi kwako umpe hiyo yela akipata atakurudishia
Jitolee aiweke bondi kwako umpe hiyo yela akipata atakurudishia
Mbona nitashukuru!!!!!!!!!!!!
Mbona unauza bei sana inamaana hiyo simu ungekua hauna shida ungeuza sh. Ngapi na dukani ni sh. Ngapi
Vp bei inapungua?
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy s5 mpya full boxed ikiwa na nyaraka au stakabadhi zote halali zikiwemo charge,,earphones na risiti pamoja na Warranty ya miaka miwili
Sababu ya kuiuza ni shida ya pesa tu..nna shida na pesa naiuza huku moyo unahuzunika ila sina namna
Bei laki tisa za KiTanzania (900,000)/=
Colour electric blue kama unavyoiona hapo juu
Mawasiliano 0688 913 666
Ahsanteni!!!!
inapungua tsh ngap?
ama ndio mwanzo mwisho
nina 7
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy s5 mpya full boxed ikiwa na nyaraka au stakabadhi zote halali zikiwemo charge,,earphones na risiti pamoja na Warranty ya miaka miwili
Sababu ya kuiuza ni shida ya pesa tu..nna shida na pesa naiuza huku moyo unahuzunika ila sina namna
Bei laki tisa za KiTanzania (900,000)/=
Colour electric blue kama unavyoiona hapo juu
Mawasiliano 0688 913 666
Ahsanteni!!!!
Jitolee aiweke bondi kwako umpe hiyo yela akipata atakurudishia
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy s5 mpya full boxed ikiwa na nyaraka au stakabadhi zote halali zikiwemo charge,,earphones na risiti pamoja na Warranty ya miaka miwili
Sababu ya kuiuza ni shida ya pesa tu..nna shida na pesa naiuza huku moyo unahuzunika ila sina namna
Bei laki tisa za KiTanzania (900,000)/=
Colour electric blue kama unavyoiona hapo juu
Mawasiliano 0688 913 666
Ahsanteni!!!!
nalia sababu kuja ipata tena kama hii sio rahisi
iyo pesa naihitaji kwasasa haraka iwezekanavyo ndio maana naiuza
SIKUKOPA
heshima kitu cha bule ndugu yaan nikope ndo ninunue simu?USIMDHARAU USOMJUA
Moja;; nimemsikitikia sababu ni simu nzuri sana na iko juu sana kwenye soko la simu
Mbili;; kwajinsi alivyotoa tangazo kajieleza vyema kua ni mali halali na vithibitisho vyote anavyo japo kajieleza kiunyonge ndio maana nimepata simanzi Kwani ata mm natumia simu kama iyo
Tatu na Mwisho;; Kuhusu bei nenda Jmall Posta Pale makao makuu ya Samsung Mobiles au Mliman City pale Samsung Shop then uliza utapata BEI YAKE,natumai nimekujibu vizuri mkuu
Asante
acheni mambo ya ajabu ndg yetu ana shida kama uwezi kuongea busara bora ukae kimya