Nauza Samsung Galaxy S5 mpya

Nauza Samsung Galaxy S5 mpya

Mbona unauza bei sana inamaana hiyo simu ungekua hauna shida ungeuza sh. Ngapi na dukani ni sh. Ngapi

Una sh ngapi mkuu?? Inauzwa milioni moja na laki moja na nusu
nisingekua na shida nisingeiuza mkuu
Ahsante
 
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy s5 mpya full boxed ikiwa na nyaraka au stakabadhi zote halali zikiwemo charge,,earphones na risiti pamoja na Warranty ya miaka miwili


Sababu ya kuiuza ni shida ya pesa tu..nna shida na pesa naiuza huku moyo unahuzunika ila sina namna


Bei laki tisa za KiTanzania (900,000)/=

Colour electric blue kama unavyoiona hapo juu


Mawasiliano 0688 913 666

Ahsanteni!!!!

inapungua tsh ngap?
ama ndio mwanzo mwisho
 
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy s5 mpya full boxed ikiwa na nyaraka au stakabadhi zote halali zikiwemo charge,,earphones na risiti pamoja na Warranty ya miaka miwili


Sababu ya kuiuza ni shida ya pesa tu..nna shida na pesa naiuza huku moyo unahuzunika ila sina namna


Bei laki tisa za KiTanzania (900,000)/=

Colour electric blue kama unavyoiona hapo juu


Mawasiliano 0688 913 666

Ahsanteni!!!!

Mrudishie hiyo mwambie akupe iPhone 6 uje nikupe hela
 
Nauza simu aina ya Samsung Galaxy s5 mpya full boxed ikiwa na nyaraka au stakabadhi zote halali zikiwemo charge,,earphones na risiti pamoja na Warranty ya miaka miwili


Sababu ya kuiuza ni shida ya pesa tu..nna shida na pesa naiuza huku moyo unahuzunika ila sina namna


Bei laki tisa za KiTanzania (900,000)/=

Colour electric blue kama unavyoiona hapo juu


Mawasiliano 0688 913 666

Ahsanteni!!!!

Nenda ulipo nunua hyo simu wit all the documents waambie unashida na hyo pesa na kama watakubali wakupe hela pungufu ya ile buying price uliyotoa, wataiangalia hali yake then they might consider u...
Wale ni wafanya biashara lengo lao ni faida wanaweza fanya makeke wakaiuza tena hela nzuri tu. Nchi za ulaya wanafanya sana hzo issue.
Goodluck.
 
nalia sababu kuja ipata tena kama hii sio rahisi
iyo pesa naihitaji kwasasa haraka iwezekanavyo ndio maana naiuza

SIKUKOPA

heshima kitu cha bule ndugu yaan nikope ndo ninunue simu?USIMDHARAU USOMJUA

Kumbe kuuliza ni dharau??

Kama simu unaipenda sana kiasi cha kujuta kuiuza... kwaninj usiuze kitu kingine?

Ili usiumie sana siku nyingine, nakushauri usinunue benz wakati uwezo wako ni wa bajaji.
 
Moja;; nimemsikitikia sababu ni simu nzuri sana na iko juu sana kwenye soko la simu

Mbili;; kwajinsi alivyotoa tangazo kajieleza vyema kua ni mali halali na vithibitisho vyote anavyo japo kajieleza kiunyonge ndio maana nimepata simanzi Kwani ata mm natumia simu kama iyo

Tatu na Mwisho;; Kuhusu bei nenda Jmall Posta Pale makao makuu ya Samsung Mobiles au Mliman City pale Samsung Shop then uliza utapata BEI YAKE,natumai nimekujibu vizuri mkuu

Asante

Umenijibu vema ukamalizia na kuniadhibu. Yani nitoke huku Sudan ya Kusini mpaka Daslam Tanzania Posta mpya kuja tu kuulizia bei ya simu? Si ungeniambia tu bei yake? Naamini hicho kidude hakizidi hela ya madafu 1.5m. Au nimekosea?
 
acheni mambo ya ajabu ndg yetu ana shida kama uwezi kuongea busara bora ukae kimya

Hata kama ni shda kwan ni wakwanza yeye kuwa na shda...
kulia lia sio vzur uza kitu kiroho safi.

anyway unapatikana mitaa ip muuza cm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom