Nauza simu aina ya Samsung Galaxy s5 mpya full boxed ikiwa na nyaraka au stakabadhi zote halali zikiwemo charge,,earphones na risiti pamoja na Warranty ya miaka miwili
Sababu ya kuiuza ni shida ya pesa tu..nna shida na pesa naiuza huku moyo unahuzunika ila sina namna
Bei laki tisa za KiTanzania (900,000)/=
Colour electric blue kama unavyoiona hapo juu
Mawasiliano 0688 913 666
Ahsanteni!!!!
Sababu ya kuiuza ni shida ya pesa tu..nna shida na pesa naiuza huku moyo unahuzunika ila sina namna
Bei laki tisa za KiTanzania (900,000)/=
Colour electric blue kama unavyoiona hapo juu
Mawasiliano 0688 913 666
Ahsanteni!!!!