J jail JF-Expert Member Oct 13, 2012 477 179 Dec 24, 2013 #1 habari.nauza mbegu za pelege yani tilapia ni size ya kati sh 200 kila samaki.ni kwa wanaotaka kufuga.karibuni
habari.nauza mbegu za pelege yani tilapia ni size ya kati sh 200 kila samaki.ni kwa wanaotaka kufuga.karibuni
T time theory JF-Expert Member Nov 22, 2013 766 634 Dec 24, 2013 #2 Tusaidie tusio wafugaji kwa kutoa kaelimu kidogo namna ya ufugaji wake.
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,879 155,845 Dec 24, 2013 #3 time theory said: Tusaidie tusio wafugaji kwa kutoa kaelimu kidogo namna ya ufugaji wake. Click to expand... SEKTA YA MIFUGO TANZANIA: UFUGAJI WA SAMAKI
time theory said: Tusaidie tusio wafugaji kwa kutoa kaelimu kidogo namna ya ufugaji wake. Click to expand... SEKTA YA MIFUGO TANZANIA: UFUGAJI WA SAMAKI
Kichumi JF-Expert Member Mar 16, 2011 588 515 Dec 24, 2013 #4 Bujibuji said: SEKTA YA MIFUGO TANZANIA: UFUGAJI WA SAMAKI Click to expand... Mkuu Bujibuji una majibu kama Julio, kweli ni noumer.
Bujibuji said: SEKTA YA MIFUGO TANZANIA: UFUGAJI WA SAMAKI Click to expand... Mkuu Bujibuji una majibu kama Julio, kweli ni noumer.
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Dec 24, 2013 #6 jail said: habari.nauza mbegu za pelege yani tilapia ni size ya kati sh 200 kila samaki.ni kwa wanaotaka kufuga.karibuni Click to expand... Unauzia hapa hapa kwenye thread ama!? weka tangazo lililojitosheleza likionyesha uko wapi..
jail said: habari.nauza mbegu za pelege yani tilapia ni size ya kati sh 200 kila samaki.ni kwa wanaotaka kufuga.karibuni Click to expand... Unauzia hapa hapa kwenye thread ama!? weka tangazo lililojitosheleza likionyesha uko wapi..
alohadm JF-Expert Member Dec 23, 2013 359 153 Dec 24, 2013 #7 uko wap na muhmu zaid tupe kaelimau kdgo tufunguke
MAKANJAMNA JF-Expert Member Aug 8, 2013 1,138 1,510 Dec 24, 2013 #8 Tilapia ni sato... sio perege.. na ni perege sio pelege
J jail JF-Expert Member Oct 13, 2012 477 179 Dec 24, 2013 Thread starter #9 Niko dar es salaam mobile;0755 454 829 karibu