Nauza, PRADO VX bei ni US dollars 95000, jipya, halijaendeshwa sana.
kumbe unaakili ila unajifanyisha hamnazo.Dola 95000 au 9500.....? Sijalewa kabisa
Hakuna prado vx..bana kuna prado tx, tz etc sasa inakuaje unauza kitu usichokijua!!!
I mean mil 150. Sio mil 150,000. Sorry.
Kuhusu watanzania kitu ambacho hajakiona anasema hakuna.
Kuna PRADO RZ, RX, RS , RJ 3-door series from japan
Kuna PRADO TZ, TX, TS, TJ. 5-door japan
Kuna PRADO GX, GXL, Altitude, VX and the high-end Kakadu. Australia, USA
Kuna watanzania wengine ukiwaambia kuna magari aina ya Opel, VW,lamborghini, wanakuambia hakuna, sababu wao wamezoea toyota na mitsubishi.
Sikuja kubishana, wale wanao amini kama zipo na anataka kununua ani contact private, nitamscania mapepa na pic, ucku mwema
nimeliona mkuu hilo prado vx..daaah ndo model za kuanzia 2007 na kuendelea na bei yake inashahibiana na uliyoweka so no worriz..wawekee tu picha raia...Kuhusu watanzania kitu ambacho hajakiona anasema hakuna.
Kuna PRADO RZ, RX, RS , RJ 3-door series from japan
Kuna PRADO TZ, TX, TS, TJ. 5-door japan
Kuna PRADO GX, GXL, Altitude, VX and the high-end Kakadu. Australia, USA
Kuna watanzania wengine ukiwaambia kuna magari aina ya Opel, VW,lamborghini, wanakuambia hakuna, sababu wao wamezoea toyota na mitsubishi.
Sikuja kubishana, wale wanao amini kama zipo na anataka kununua ani contact private, nitamscania mapepa na pic, ucku mwema
Hee U$ 95,000 sawa na pesa za Tanzania sh million 158....aah bora nikanunue meli looh....
hii bei!!!dola ngapi?
anataka kuniogopesha kudunduliza kununua gari!maana kwa kimshahara changu kama magari ndo bei hiyo nisahau tu!!usd 95,000 heee hii balaa
sasa ndo kwa bei hiyo!!!huyo hauzi PRADO VX (4x 4) mnalolijua nyie anauza Nyapu a.k.a K
Nauza, PRADO VX bei ni US dollars 95000, jipya, halijaendeshwa sana.
anataka kuniogopesha kudunduliza kununua gari!maana kwa kimshahara changu kama magari ndo bei hiyo nisahau tu!!