Nauza, PRADO VX bei ni US dollars 95000, jipya, halijaendeshwa sana.
US$ 95,000 @ Tshs 1,600/$ = Tshs 152MilNauza, PRADO VX bei ni US dollars 95000, jipya, halijaendeshwa sana.
I mean mil 150. Sio mil 150,000. Sorry.
Hivi unafahamu maana ya Brand new, Good used na second hand?Nauza, PRADO VX bei ni US dollars 95000, jipya, halijaendeshwa sana.
Hiyo siyo bei ya prado.bei ni kubwa.mno
Nauza, PRADO VX bei ni US dollars 95000, jipya, halijaendeshwa sana.
Mie ndio nilinunua juu ya hapo. ujerumani
Du , una siasa kali weye!!!!
We labda ulilaliwa bei, but haina maana kua ndio bei yake halisi.
kama uliweza kununua kwa bei hiyo inamaanisha unazo za kutosha, so kaa nalo tu Bi. Mdada!!
Hivi unafahamu maana ya Brand new, Good used na second hand?
Gari jipya linauzwa likiwa na kilometer zero.