natarajia kuchinja nguruwe wangu watatu,,nauza nyama jumla na reja reja kwa siku ya kesho,nikipata Wateja jumla itakua vizuri,kilo shilingi 6500.wapo Tabata segerea.napokea order mbali mbali,Mzigo unakufikia popote.karibuni sana
sawa Mkuu,nitakucheki private nijue locationNiletee kilo moja kesho
Uko wapi? Siajabu unatoa oder ya kilo moja unaishi ChalinzeNiletee kilo moja kesho
Jumla ni kuanzia kilo ngapi?natarajia kuchinja nguruwe wangu watatu,,nauza nyama jumla na reja reja kwa siku ya kesho,nikipata Wateja jumla itakua vizuri,kilo shilingi 6500.wapo Tabata segerea.napokea order mbali mbali,Mzigo unakufikia popote.karibuni sana
Uko wapi? Siajabu inatosha oder vya kilo moja unaishi Chalinze
kuanzia kilo 10 bossJumla ni kuanzia kilo ngapi?
duh,fursa nzuri boss fungua kabar apo na wewe uvunje bei uuze ata kama 10000Daaa bei nzuri sana hiyo huku makange chairfire tunauziwa 12,000/=
okey boss ,nakutumiaWeka namba yako ya simu
kuanzia kilo 10 boss[/QUOTE
Chini ya hapo kilo the ngapi?
Daah sema nipo porini sasa ningetumia hiyo fursa.duh,fursa nzuri boss fungua kabar apo na wewe uvunje bei uuze ata kama 10000
kabisa mkuuhii ndiyo mboga
Weka namba yako ya simu
Uko wapi? Siajabu unatoa oder ya kilo moja unaishi Chalinze