Chantaburi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 749
- 194
Kwa kifupi simu yangu nilitaka kuiuza ila nilibadili mawazo baada ya kuinstall Android ikawa ina os mbili ya maemo na Android gingerbread ila kwa sasa nina uhitaji wa hela nimelazimika kuiweka sokoni.
Kwa ufupi iko fiti niliinunua mwaka jana
Kwa ufupi iko fiti niliinunua mwaka jana