Nauza nissan xtrail mil9.5

Nauza nissan xtrail mil9.5

acheni kukariri
Screenshot_20170927-132758.png


nadhani wewe ndiye unaapaswa kuacha kukariri.
 
Tatizo mnakuwa mnasikiliza mambo ya watu amabao utakuta pengine hata baiskeli hawana. Nina Nissan Ex-trail Manual, imemaliza Mwaka mzima sasa lakini haijawahi kuguswa na fundi yeyote. gari ni matunzo tu
Wabongo service ni mpaka gari iwe na tatizo au apate safari ndefu.. Nissan aina zote tu zinahitaji discipline, ila mbongo umwambie atoe laki 3 kila baada ya miezi 6 kwa ajili ya service tu hata kama gari halina ubovu anaona ni bora akale bia na makahaba
 
subiri tu, muda ndio mwalimu! extrail sio gari ya kuweka dhamana kiasi hcho aisee , utaimba!
Tatizo mnanunua magari kwa viele vya mikopo, Net Pay mnayobaki nayo ni ya kulia bia tu.. Gari za Nissan ni service tu
 
mi ya kwangu BKV niliiuza kwa 5m, shusha bei au ipeleke mkoani
 
Wabongo service ni mpaka gari iwe na tatizo au apate safari ndefu.. Nissan aina zote tu zinahitaji discipline, ila mbongo umwambie atoe laki 3 kila baada ya miezi 6 kwa ajili ya service tu hata kama gari halina ubovu anaona ni bora akale bia na makahaba
Asante kwa kunisaidia mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom