Fire Extinguisher ipo?Haijawahi kurudiwa rangi
1990cc
Kibamba - Dsm
.
0717 650800
Ningekua na hela ningenunua aisee ili niwenazo mbili.Haijawahi kurudiwa rangi
1990cc
Kibamba - Dsm
.
0717 650800
Kumbe wewe ndio muuzaji? Sijaangalia jina mkuu!!! Mambo ya IST yanafuata nini?? kwani hizo ni gari au bajaji??? Umekuwa mkali, ueleze uma hapa changamoto zake,weka picha ya gari bei ndio kuuza, sasa wewe unataja aina ya gari tu ndio biashara gani hiyo??? Uzoefu wangu wabongo sio wakweli,kununuwa kitu toka kwao asilimia kubwa ni gunia la misumali. Usichukie mtani weka picha ya chuma hapa na bei maelezo umekaa nayo mda gani umeagiza au na wewe umenunuwa kwamtu....Kwahyo mtazamo wako na udereva wako wa kujifunza ndio umekwambia kupaki Dualis ni changamoto? Gari ya watu wa5 ni mini bus, ist inabeba watu wangapi? Nayo ni mini bus?
Ama gari yako wewe inabeba watu wangapi mzee? Labda tuanzie hapo
.
Kuhusu kulipuka, kwahyo unabeba stori za watu huko ambazo huwezi kuzithibitisha unaleta kwenye biashara yangu au sio?
🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe wewe ndio muuzaji? Sijaangalia jina mkuu!!! Mambo ya IST yanafuata nini?? kwani hizo ni gari au bajaji??? Umekuwa mkali, ueleze uma hapa changamoto zake,weka picha ya gari bei ndio kuuza, sasa wewe unataja aina ya gari tu ndio biashara gani hiyo??? Uzoefu wangu wabongo sio wakweli,kununuwa kitu toka kwao asilimia kubwa ni gunia la misumali. Usichukie mtani weka picha ya chuma hapa na bei maelezo umekaa nayo mda gani umeagiza au na wewe umenunuwa kwamtu....
Si unipe ujanja niwe kama wewe mkuu.🤣🤣🤣🤣🤣
Wacha nikuache na ujinga wako
Aliyelala usimwamshe, utalala wewe....ila nakushauri, punguza kiherehere kwa mambo ambayo hayakuhusu ama ambayo hauko competent nayo enoughSi unipe ujanja niwe kama wewe mkuu.