Na nje ya mimba watazaliwa wangapiNdani ya mimba ana watoto wa ngapi?
Na watakaokua watakua wangapi?Na nje ya mimba watazaliwa wangapi
Baby lete ile laki 4 niongezee tununue hio kitu tujiajiri😇Na watakaokua watakua wangapi?
Sawa baby soon to bring it..😂Baby lete ile laki 4 niongezee tununue hio kitu tujiajiri😇
Kwa moyo mmoja switiii.. sawa?Sawa baby soon to bring it..😂
Yes switie chako ni chetuKwa moyo mmoja switiii.. sawa?
nakuelewa sana baby!🥰🥰Yes switie chako ni chetu
Inbox ya wapi tena si tulikubaliana hizo pesa nazileta hapa hapanakuelewa sana baby!🥰🥰
mbona inbox uko kimya
Baby unapenda kunijibu sauti juu jamaniInbox ya wapi tena si tulikubaliana hizo pesa nazileta hapa hapa
Kauze pale karibu na malango wa msikiti mweupe pale utapata wateja wa bei kali🥰😇🤣Salaam Sana wakuu.
Nauza Hilo jike Bei ya kutupa ths laki 6 ila amepandwa Kama week 2 zimeisha .
Hiyo Ni zile mbegu ndefu Kama unavyomuona .
Mahali alipo Ni kiluvya gogoni dsm
Picha Zaid tuwasiliane what's up 07554040226
Uje umuone uongee
Mkuu Hawa wote Ni vana vyuo wanangoja pesa za boom na wengine Ni watoto wa mama mchana anatunikiwa chakula kwenye kawa ...Wadau mbona fujo kwenye Biashara za Watu....
Nikirudi kwenye mada husika..., Kwanini Unamuuza ? Na wale wanaohoji Bei, kwani bei ya Soko ni Ngapi ?
Inbox ya wapi tena si tulikubaliana hizo pesa nazileta hapa hapa