Nauza na kufuga Mapaka karibuni...

Nauza na kufuga Mapaka karibuni...

nilisikia yule jirani anawatumia kuwanga when I was a kid. That has not changed till today
Ni Uongo mtupu imani potufu usiamini kabisa Paka ni kiumbe tu kama viumbe wengine aliowaumba Mungu Ndahani hakuna cha kutumiwa na wachawi wala nini ni imani potufu tulizozikuta toka kwa wazazi wetu mkuu.
 
Umebuni mradi mzuri kwa sababu kwa hivi sasa wateja wake(wachina) wapo hapa Bongo.Si unajua tena Paka na Mbwa ni deal kwa wachina.Lakini usije shangaa ukiitwa kigagula na jirani zako.
 
Ni Uongo mtupu imani potufu usiamini kabisa Paka ni kiumbe tu kam viumbe wengine aliowaumba Mungu Ndahani hakuna cha kutumiwa na wachawi wala nini ni imani potufu tulizozikuta toka kwa wazazi wetu mkuu.

Mwingine alikuwa anasema paka amekunya kwenye unga wa ugali halafu akafukia uchafu wake kwa unga bila kugundua
 
Umebuni mradi mzuri kwa sababu kwa hivi sasa wateja wake(wachina) wapo hapa Bongo.Si unajua tena Paka na Mbwa ni deal kwa wachina.Lakini usije shangaa ukiitwa kigagula na jirani zako.
Kumbe Mradi mzuri sana kwa hawa ndugu zetu wa kichina na Wa Nigeria wanapenda sana kula hao Mapaka kisugujira itabidi niwatafute wawe ni wengi ili niweze kutajirika na huo mradi unasemaje mkuu?

Mwingine alikuwa anasema paka amekunya kwenye unga wa ugali halafu akafukia uchafu wake kwa unga bila kugundua
ni chuki tu Binadamu hakosi sababu akichukia kitu Mkuu Ndahani
 
Last edited by a moderator:
Ninawauliza Swali je akiingia hapo Mbwa je atapona kwa hao Mapaka? Nawaombeni Majibu wakuu wenzangu.
 
i hate mnyama wa aina yoyote! sitaki inzi, mbu, mende, paka, kuku, bata, mbuzi cjui ng'ombe cjui mbwa, cjui nn!? cju makitu ganii! nachukiaaaaaaaaaaaaaa! ctak hata kuwa karibu yao wala kuyaona! yaani huwa nina vita na madudu kwa ujumla! nimeona hayo mapaka hapo nimesisimkwa mwili! tufiakwa!

Vipi kuku nyama yake hupendi au mishikaki, nataka weekend nikutoe out wewe
 
We acha tu Mkuu...Kuna siku nilialikwa kwa rafiki kwa ajili ya msosi. Sikujua kama nyumba ile kuna mapaka. Basi chakula kilipowekwa mezani mama mwenye nyumba akapotea kama dakika tano hivi chakula kiko mezani waziiiii basi mapaka manne yakarukia pale mezani na kuanza kudokoa dokoa chakula kile. Mie mkanda mzima nauona live. Nikaamua mara moja kwamba sigusi kile chakula. Sasa akili inanizunguka kutafuta uongo wa kutokula. Basi nikagundua uongo wa kuwaambia wenyeji ili nikwepe kile chakula maana yale mapaka manne yalichezea kile chakula na nilikuwa sijui chakula kipi kilichochezewa.

Basi nilipokaribisshwa rasmi nikaomba samahani jamani mie nilisahau kabisa kuhusu huu mwaliko hivyo nimekula kabla ya kuja hapa na vinono ninavyovipna juu ya meza najuta kwanini nilisahau. Yaani sina nafasi hata ya tonge mbili 🙂🙂 Ila nitakunywa kinywaji na samahani nyingi sana kwa wenyeji wangu....Yaani mie na mapaka!!! ptuuuuuuuuu...😛uke:
Hawakugundua kabisa sababu ya kuukwepa msosi ule.

Yaani simpendi mdudu huyo ni basi tu
 
BAK, si ungewastua wenzio jamani? Labda na wao hawakujua?
For some reason (sio ya kuogopa uchawi) siwezi kufuga paka. Ila paka asie na discipline kama huyo mpanda mezani maana yake ni hatunzwi vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Hilo la kuwaambia wenyeji hata akilini halikunijia kabisa. Ukiwa na mapaka ndani ya nyumba basi ni lazima uhakikishe vyakula huachi wazi hata kwa sekunde chache, vinginevyo lazima yatadokoa tu.

BAK, si ungewastua wenzio jamani? Labda na wao hawakujua?
For some reason (sio ya kuogopa uchawi) siwezi kufuga paka. Ila paka asie na discipline kama huyo mpanda mezani maana yake ni hatunzwi vizuri.
 
Mate ya paka yanabeba bacteria wabaya sana. Napatia picha tu, control ya chakula humo ndani kama mnawindana. Ukiwa unaandaa samaki wa kupika ndo umewatoa kwenye friza. Wangoja wayeyuke uwapake viungo. Halafu paka anapitia! Mmh, kazi ipo. Wanayaweza wenyewe.
Hilo la kuwaambia wenyeji hata akilini halikunijia kabisa. Ukiwa na mapaka ndani ya nyumba basi ni lazima uhakikishe vyakula huachi wazi hata kwa sekunde chache, vinginevyo lazima yatadokoa tu.
 
Back
Top Bottom