Nauza mchele kwa bei rafiki

Nauza mchele kwa bei rafiki

Chilamwina

Member
Joined
Aug 5, 2023
Posts
12
Reaction score
37
Baada ya kujidunduliza na kujinyima nyima nikapata kamtaji ka kupata nusu tani ya mchele

Nauza mchele kwa bei ya 1600 ,1800,2400 na 2800

Flem yangu ipo chamazi jirani na uwanja wa azam complex,pia nafanya delivery kwa wale ambao watakosa muda wa kufika ninapouzia

Namba yangu ni 0682528220.

Screenshot_20241209-185138.png
 
Baada ya kujidunduliza na kujinyima nyima nikapata kamtaji ka kupata nusu tani ya mchele

Nauza mchele kwa bei ya 1600 ,1800,2400 na 2800

Flem yangu ipo chamazi jirani na uwanja wa azam complex,pia nafanya delivery kwa wale ambao watakosa muda wa kufika ninapouzia

Namba yangu ni 0682528220.

Kila la kheri Mwamba
 
Baada ya kujidunduliza na kujinyima nyima nikapata kamtaji ka kupata nusu tani ya mchele

Nauza mchele kwa bei ya 1600 ,1800,2400 na 2800

Flem yangu ipo chamazi jirani na uwanja wa azam complex,pia nafanya delivery kwa wale ambao watakosa muda wa kufika ninapouzia

Namba yangu ni 0682528220.

Delivery ya umbali gani na kuanzia kilo ngapi ? Unless hii ni lugha ya biashara unaweza kujikuta unafanya kazi ya Kanisa (au kufunga genge kukimbiza faida ya mia mbili na kukosa mia tano dukani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom