Nauza maziwa. Niko Dodoma

Nauza maziwa. Niko Dodoma

googleg

Member
Joined
Mar 3, 2025
Posts
30
Reaction score
42
Nauza maziwa mgando na freshi nipo dodoma maili mbili free derivery kwanzia lita 5 ni Shilingi elfu kumi(10000) ndani ya dodoma

Piga 0613929286 kuweka oda yako nikuhudumia karibu sana.

Pia kwa wamama ambao wanatamani kufanya hii biashara nipigie nikupe maelekezo
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Nauza maziwa mgando na freshi nipo dodoma maili mbili free derivery kwanzia lita 5 ni Shilingi elfu kumi(10000) ndani ya dodoma

Piga 0613929286 kuweka oda yako nikuhudumia karibu sana.

Pia kwa wamama ambao wanatamani kufanya hii biashara nipigie nikupe maelekezo
bei haina ushawishi. kwasababu bei unayouza wewe, na uraiani ni hiyohiyo.

mtu anaona ya haja gani maziwa ya delivery?!, wakati hata mtaani kwake hatua 2 anapata kwa bei hiyohiyo!!.
 
bei haina ushawishi. kwasababu bei unayouza wewe, na uraiani ni hiyohiyo.

mtu anaona ya haja gani maziwa ya delivery?!, wakati hata mtaani kwake hatua 2 anapata kwa bei hiyohiyo!!.
Kama sio mnunuzi si unyamaze tu
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
bei haina ushawishi. kwasababu bei unayouza wewe, na uraiani ni hiyohiyo.

mtu anaona ya haja gani maziwa ya delivery?!, wakati hata mtaani kwake hatua 2 anapata kwa bei hiyohiyo!!.
Inategemea, hapo mtaani kwako maziwa yana quality gani na huyo anaefanya delivery yana quality ipi.

Nakupa mfano: hapa nilipo kuna jaama anauza lita fresh 2000 ila maziwa yana maji sana. Hivyo nimebadili location, nachukua maziwa yanakuja na daladala litre 5 natulia, maziwa yako vizuri.

Mwanzo nilikuwa nachukua mgando hapa hapa jilani, ila baadaye nikaonja maziwa mgando kutoka kiwanda za magereza, kingolwila morogoro. Oya mtindi umenyooka ule. Nina mwanangu anakuja dar mara kwa mara, huwa namwambia apitie pale.

Kwahiyo kusubiri delivery ni kawaida kwa kitu unachopenda
 
bei haina ushawishi. kwasababu bei unayouza wewe, na uraiani ni hiyohiyo.

mtu anaona ya haja gani maziwa ya delivery?!, wakati hata mtaani kwake hatua 2 anapata kwa bei hiyohiyo!!.
Upo sehemu gani boss kesho nikupitishie uonje hata kidogo maana bei ni moja ila ubora tofauti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom