miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
MKUU ACHA KUPANIKI UNAWEZA KUTA NA YEYE NI MTEJA BE COOLSijakutukana,nimekudescribe character yako,tofautisha. Mi natangaza biashara yangu we unaanza maneno sijui kutoka wapi,kwann usilete hoja kistaarabu kama unaona ipo haja ya mm kuprove authenticity ya hayo mayai? Unaanza kuchonga hovyo tu? Wewe endelea kubonga wanaohitaji biashara nitafanya nao na wao ndio watajua kama ni yenyewe ama la.