Nauza mayai mawili ya bundi

Nauza mayai mawili ya bundi

Matapeli mna mbinu sana, tafuta kazi ya halali we boya!
 
Hahahaha, njaa zetu zina mambo! Tafuta wenye imani za kijinga, waweza uza...
 
Umeyapataje? Watu wa ulimwengu wa roho wapo njiani wanakuja kwani wanajua kazi yake
 
Habari wanajamii forum popote mlipo. Waswahili wanamsemo wao usemao asiyejua maana haambiwi maana nauza mayai mawili ya bundi yote kwa tsh milioni tano (tsh 5000,000) kwa anayehitaji tuwasiliane in box. Karibuni sana.View attachment 1585348

Selemani yule mtalaamu wa nyungu hajakuzukia inbox? Tupeane mrejesho mkuu.

Kama vipi tuwasiliane naye hata kwa niaba tu. Isijekuwa katingwa sana na consultancy za nyungu kiasi bado hajajua kuwa na yale mavitu yetu aliyokuwa anasaka kwa ufipa na uvumba kumbe tayari mwamba uko nayo.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Habari wanajamii forum popote mlipo. Waswahili wanamsemo wao usemao asiyejua maana haambiwi maana nauza mayai mawili ya bundi yote kwa tsh milioni tano (tsh 5000,000) kwa anayehitaji tuwasiliane in box. Karibuni sana.View attachment 1585348
Kama mayai ya Bundi yanagharama kiasi hicho ya nini mimi kukomaa na kitabu.
 
Back
Top Bottom