INAUZWA Nauza mashine ya kutengeneza siagi ya karanga bei poa

pettymarcel

JF-Expert Member
Jun 17, 2012
2,161
880
Ninauza mashine za kusaga siagi ya karanga yaani kwa wale wanaotaka kuanzisha biashara ndogo ya uuzaji wa Penuty butter karibuni niwauzie mashine.

Sifa za mashine

Inasaga kwa kutumia nishati ya umeme

Ina watts 750

Ina uwezo wa kusaga gm 350 kwa wakati mmoja

Inasaga na nuts nyingine Kama korosho no

Waweza kuanzisha biashara ya kuuza Penuty butter kwa kwenda sido na kununua vifungashio
Tafuta disgner akutengenezee logo ya biashara

Fungasha sambaza kwenye maduka uza kwa ndugu marafiki wengine hususani ukanda wa ziwa hutumia siagi ya karanga Kama kiungio Cha mboga mbadala wa Nazi

Tunapatikana Ukonga DSM na Mwanza Nyegezi

Bei ni sh 120,000 tu

WhatsApp me 0763772636

IMG-20200718-WA0313.jpeg
IMG-20200824-WA0002.jpeg
 
Mashine nzuri Sana ya kutengeneza Siagi ya karanga utapata kwetu kwa Bei ya Tabasamu Kabisa
IMG_20200926_225348.jpeg
 
Back
Top Bottom