Sultan Zuwera
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 246
- 339
Wana JF ninauza mashine ya Ceragem inayotumia umeme ambayo hutibu magonjwa yote isipokuwa yale ya kuambukiza kama vile HIV, TB, Malaria n.k Naiuza ikiwa na vifaa vyake vyote kwa Shs. 1.5m baada kuniponesha Ugonjwa uliokuwa ukinisumbua kwa miaka mingi. Iko katika hali nzuri sana kama vile mpya. Anayeihitaji anitafute kwa 0716148888. Picha zake naziambatanisha hapa chini;