2003 model, usd 3300 kuagizia tu, e.g hii wagon
View attachment 121259
2008 model usd 5400
View attachment 121260
Matusini ya nini sasa ? kwani wote ni washamba km wewe
nimekupa link kweli? Toyota Noah TA-AZR60G(2001) / L / US$1,500 / 138,000 km / K.S TRADING - Japanese Used Car [ tradecarview ]
Tanzania Directory for Business, Entertainment & Travel Info
na wenzako wote tunaenda huko hata hao Zoom utapata kwa Dola $ 1,000 na nimeeleza usafiri ni km $ 1,450
Utawazia washamba wasiojua kufungua mitandao na hata hapa JF on top kabisa wapo tradecarview
USILAZIMISHE BIASHARA KWA MATUSI Doga elimisha wenzako na wafaidike sio kuwaibia
kizuri chajiuza na kwa taarifa yako situmii Vits na nina Noah Daladala kwenda Mvumi ni Noah ya 2001
Nimesema link ziko wazi na ni nyingi tu, tena ka kuwasaidia na wengine Zoom wanaweka na simu
Hapo chini kuna mtu wa Arusha
1999 Toyota Noah SR 50 For Sale in Arusha Tanzania | Classified
1999 Toyota Noah SR 50
Price: TSH 9,800,000
Kilometers: 167000
Four Wheel Drive
Transmission: Automatic
Date Listed: Oct 8, 2013
Email Address: Click to Email
Phone: +255 784 588 089
Area: Arusha
![]()
![]()
![]()
Huyu sasa ni wa Dar na simu yake ipo hewani
2003 Toyota Noah
Price: TSH 9,900,000
Kilometers: 45660
Transmission: Automatic
Date Listed: Sep 9, 2013
Email Address: Click to Email
Phone: +255 715 364 676
Area: Dar Es Salaam
![]()
![]()
usengwile usinitafutie BAN bure maana jina lako tu ukiotoa WIL linalobaki mm ni mwiko kujibizana nao
Noah ni 10,000,000/= Registered TRA
Mkuu ndugu. Mkuu maalimu
Wanajamvi wenzangu, nduguyenu napata mkate kwa hii biashara ya kuagiza magari Japan/Uk na kuuza Tanzania. nina experience ya miaka mingi kwasasa nmeamua niwe nachangia jukwaa la biashara kwa bidhaa hizi nnazoziuza. karibun. serious business ni PM. please kejeri/ dharau/ si mahala pake.View attachment 119780View attachment 119781View attachment 119782View attachment 119783
niwie radhi mkuu, nilikuwa safarin network kimeo, but nmeshajibu
kaka, hii ni TOYOTA WILL VS, NI VERY COMMON KWA SASA SPARE ZIPO NYINGI SANA, NAANZIA 12M MKUU MAONGEZI NAKUKARIBISHA
Wewe ndio Bwabwa kabisa nani kakwambia ujibu si ungepita tu tu!!Kaka kiukweli unaboa sio siri hata ningekua mimi ningekutukana yani upo so childish ....wewe kama unauza gari anzisha thread yako acha watu wafanye biashara ....we braza ni limbukeni umekera sana ...watu wanajitafutia mkate we unaleta ukuda mbona kuna magari hata ya 5M mjini hapa acha hizo acha kabsa ujuaji....
hapa hakuna Mjuaji km una biashara weka lakini majibu yako ndio yatatufanya tukukosoe tena bila matusi licha ya mimi kajibiwa na wengi tu kuwa gari hizo zipo kwa bei ya chini,@Usengwile Acha kuleta ujuaji kwenye mambo usiyoyajua, Toyota Noah ikiwa inauzwa $1500 na vipi vits na GX 100 zitauzwa kwa bei gani? fanya yako mkuu wacha wanaume wa mujini tusake pesa, tafuta wa kulumbana nae na mipasho, plz get outof this , unadhani magari chu. pi kila mtu awe nalo,