Nauza magari haya

Nauza magari haya

Ndugu USENGWILE hapa umechemsha wana JF wamekupa za uso. huo wizi ukafanye huko huko kwa walugaluga wenzio unataka kupiga faida ya million 5 bila jasho hata kama ni DEI WAKA hapo umepitiliza
 
BF175604_5.jpg
BF175604_6.jpg
Sasa hii ni NOAH ya 2004 imetembea 177,000kms hawa ni BE FORWARD http://www.beforward.jp/toyota/noah...id=40&alt_port_id=49&insurance=1&inspection=1 bei zao FOB ni 1235 USD na CIF 2833 USD (Dar es Salaam Port) hata ufanye vipi gharama haitafika 10m wewe na bange zako unauza 15m halafu unadai ati ni mwanaume wa mujini unatafuta hela kumbe ni wizi. SHAME ON YOU.
 
mkuu ni vyema kujua model na specifications zinazopatikana kwenye gari ndio ujibu,

hii ni 2001 model, gear fupi
SR 40,

ninayo nyingine ya 10million kesho ntatupia picha zake

Ni mpya au ngarangara?
 
BF175604_5.jpg
BF175604_6.jpg
Sasa hii ni NOAH ya 2004 imetembea 177,000kms hawa ni BE FORWARD http://www.beforward.jp/toyota/noah...id=40&alt_port_id=49&insurance=1&inspection=1 bei zao FOB ni 1235 USD na CIF 2833 USD (Dar es Salaam Port) hata ufanye vipi gharama haitafika 10m wewe na bange zako unauza 15m halafu unadai ati ni mwanaume wa mujini unatafuta hela kumbe ni wizi. SHAME ON YOU.

Mkuu this is free market unajua yard ni sh ngapi? Na hapo utakuta tairi zishabadilishwa na' vitu vingine
 
Matusini ya nini sasa ? kwani wote ni washamba km wewe
nimekupa link kweli? Toyota Noah TA-AZR60G(2001) / L / US$1,500 / 138,000 km / K.S TRADING - Japanese Used Car [ tradecarview ]
Tanzania Directory for Business, Entertainment & Travel Info
na wenzako wote tunaenda huko hata hao Zoom utapata kwa Dola $ 1,000 na nimeeleza usafiri ni km $ 1,450
Utawazia washamba wasiojua kufungua mitandao na hata hapa JF on top kabisa wapo tradecarview
USILAZIMISHE BIASHARA KWA MATUSI Doga elimisha wenzako na wafaidike sio kuwaibia
kizuri chajiuza na kwa taarifa yako situmii Vits na nina Noah Daladala kwenda Mvumi
ni Noah ya 2001
Nimesema link ziko wazi na ni nyingi tu, tena ka kuwasaidia na wengine Zoom wanaweka na simu
Hapo chini kuna mtu wa Arusha

1999 Toyota Noah SR 50 For Sale in Arusha Tanzania | Classified
1999 Toyota Noah SR 50
Price: TSH 9,800,000
Kilometers: 167000
Four Wheel Drive
Transmission: Automatic
Date Listed: Oct 8, 2013

Email Address: Click to Email
Phone: +255 784 588 089
Area: Arusha
081013040020DSC00899.JPG
081013040027DSC00900.JPG
081013040740DSC00898.JPG

Huyu sasa ni wa Dar na simu yake ipo hewani
2003 Toyota Noah

Price: TSH 9,900,000
Kilometers: 45660
Transmission: Automatic
Date Listed: Sep 9, 2013

Email Address: Click to Email
Phone: +255 715 364 676
Area: Dar Es Salaam
090913161003P05-09-13_13.03[1].jpg
090913161010P05-09-13_13.04.jpg

usengwile usinitafutie BAN bure maana jina lako tu ukiotoa WIL linalobaki mm ni mwiko kujibizana nao
Noah ni 10,000,000/= Registered TRA
Mkuu asante sana maana jamaa anaona watu wapuuzi wa maisha kama yeye Noah hata 9m unapata wastani ni m10 nimesema jamaa akanishukia eti yangu itakuwa mbovu sasa na mimi nakuja ba link tuwasaidie wa tanzania wenzetu suyi hawa maboya wanajifanya kuibia watu nawasiwasi hawa ni nadalali wa lumumba na buafra.
 
Mkuu asante sana maana jamaa anaona watu wapuuzi wa maisha kama yeye Noah hata 9m unapata wastani ni m10 nimesema jamaa akanishukia eti yangu itakuwa mbovu sasa na mimi nakuja ba link tuwasaidie wa tanzania wenzetu suyi hawa maboya wanajifanya kuibia watu nawasiwasi hawa ni nadalali wa lumumba na buafra.
usengwile

Join Date : 7th September 2013
Posts : 44
Rep Power : 317
Likes Received12
Likes Given1



KakaKiiza unajua hawavijana wametoka juzi tu huko milimani walikuwa wakichimbua viazi, sasa wamefika Dar kwa mjomba basi na yeye anajua kuuza magari.
hivyo akajiunga na JF 07/09/2013 na kuanza kututukana
sasa hivi Dunia ipo kiganjani, magari miaka hii mpaka unaruhusiwa kuongea na aliyelitumia huko Japan, na wala sio dalali, na wala hela haipotei.
Mnunuzi ukiogopa zaidi basi unanunua hapahapa TZ kupitia Zoom
hata ukitaka wanakuletea mpaka mlangoni mradi UWALIPE TU
Tena Noah, nipo Dodoma nikiitaka nyingine natwanga tu kati ya Arusha na Dar nawalipa Advance kwa M-Pesa wanawasili mlangoni
asante sana hawa watoto wenye majina ya namna hiyo huwa hawapiti kwa Ngaliba, halafu kaweka jina baya siwezi ongea naye
 
Last edited by a moderator:
Gari ulizoweka hapo iyo ya kwanza namba CBT noah old model ina zaidi ya mwaka tokea iingie tanzania, hyo BNT new model ni zaidi ya miaka 2 na nusu tokea iingie nchini, gari zangu zina 1 week toka ziingie nchini, kama ulitaka kutangaza biashara yako si ungeifungulia uzi mwingine? kama huijui hyo tradecar view wadanganye wenzio wakaibiwe pesa zao then warud hapa wakutafute na kilio, kumbe uko Dodoma 500km toka tanzania mengi yanakupita kaka, JF nipo miaka mingi, usione hyo joining date naona unantafutia BAN na huku mkuu, na hyo usengwile tafuta mtu wa songea akutafsirie,
 
Ndugu USENGWILE hapa umechemsha wana JF wamekupa za uso. huo wizi ukafanye huko huko kwa walugaluga wenzio unataka kupiga faida ya million 5 bila jasho hata kama ni DEI WAKA hapo umepitiliza

kwa ushauri wangu hebu pitia showroom then uliza bei ya haya magari, hizi Noah zote hapa iwe new model au old model ushuru sio chini ya 5million,port charges, registrations, agent n.k, usiniite mwizi huku hunijui, ni vizuri ukauliza ili ueleweshwe
 
BF175604_5.jpg
BF175604_6.jpg
Sasa hii ni NOAH ya 2004 imetembea 177,000kms hawa ni BE FORWARD http://www.beforward.jp/toyota/noah...id=40&alt_port_id=49&insurance=1&inspection=1 bei zao FOB ni 1235 USD na CIF 2833 USD (Dar es Salaam Port) hata ufanye vipi gharama haitafika 10m wewe na bange zako unauza 15m halafu unadai ati ni mwanaume wa mujini unatafuta hela kumbe ni wizi. SHAME ON YOU.

OK, NGOJA NIJARIBU KUFANYA HESABU

CIF 2833*1610 = 4,561,130/=
TT FEE uSD +_10= 16,100/=
TAX ESTIMATE 3200,000/=
REGISTRATION FEE, MIN 320,000/=
PORT CHARGE 350,000/=
SHIPING LINE 300,000/=
PLANE NUMBER 38,000/=
AGENT 200,000/=
CARD 10,000/=
ESTIMATED TOTAL 8,957,230/=
UYU MTU AKIUZA 9,000,000/= ATAPATA FAIDA YA TSH 42,770/= IYO FAIDA NI SAWA NA KUNUNUA KIFURUSHI CHA INTERNET CHA MWEZI MZIMA ILI KUWEZA KUTRACK MZIGO/MELI. KWA UFUPI ATAKUWA ANAFANYA BIASHARA KICHAA.
 
Nmegundua hapa JF kuna watu wapo kwa madhumun ya kubisha hata kama hajui, then lingine kama ilivyo kwa watz wengi ni kukatishana tamaa, unakua attacked na mtu tena hata kwa matusi ili mradi atimize lengo la kukufanya uonekene huwezi, first hakuna noah ambayo ushuru wake utakuwa chini ya 4milion, na kwenye kufuatilia gari tangu unaagiza japan had ifike kuna mlolongo mrefu,
 
Nmegundua hapa JF kuna watu wapo kwa madhumun ya kubisha hata kama hajui, then lingine kama ilivyo kwa watz wengi ni kukatishana tamaa, unakua attacked na mtu tena hata kwa matusi ili mradi atimize lengo la kukufanya uonekene huwezi, first hakuna noah ambayo ushuru wake utakuwa chini ya 4milion, na kwenye kufuatilia gari tangu unaagiza japan had ifike kuna mlolongo mrefu,
Ndugu yangu unalalama bure wewe mwenyewe umeadimiti kuwa Noah ushuru ni 4ml je CIF ni bei gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom