Nauza Mafuta Ya Alizeti

Nauza Mafuta Ya Alizeti

Gushleviv

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2011
Posts
3,457
Reaction score
5,324
Salamu zenu Wote,
Nauza mafuta ya Alizeti Halisi bei ni kama ifutavyo:-
Galoni 4 za lita 5(katoni) bei ni Tsh 60,000/-
Galoni 6 za lita 3(katoni) bei ni Tsh 60,000/-
Ndoo moja ya lita 10 bei ni Tsh 30,000/-

Mzigo upo wa kutosha, mafuta ni mazuri sana.

Anaehitaji ani PM au tuwasiliane kwa namba hii 0718 177 778
.

Asanteni.
 
wapatikana wapi ? mkuu enhe
 
Last edited by a moderator:
Toa mawasiliano utafutwe mkuu, bei yako nafuu sana.
 
Hamna shaka jamani baadhi nimeshawapm ila napatikana pia kwa hii namba 0718 177 778.
Tuwasiliane mzigo upo wa kutosha.
 
Back
Top Bottom