Nauza madaladala hino rainbow

Nauza madaladala hino rainbow

kazikaz

Member
Joined
Oct 8, 2016
Posts
39
Reaction score
31
Nina magari matatu yote nauza nataka kuhama Tanzani so nauza bei poa gari zipo tatu zote Hino rainbo
IMG-20170601-WA0012.jpg
IMG-20170601-WA0011.jpg
IMG-20170601-WA0007.jpg
IMG-20170601-WA0009.jpg
IMG-20170601-WA0008.jpg
w
Mbili ni namba C moja ni namba DDP
BEI M 18 maongez yapo nataka niziuze fasta
Karibuni
My contacts 0672243892
 
Duhh, mkuu umevunja bei kweli.

Washindwe wadau wenyewe tu
 
Niuzie moja kwa mkataba wa miezi kumi na mbili ntakua nishakulipa pesa yako yote mkuu kila mwisho wa mwezi nakupa milion moja na laki nane
 
Back
Top Bottom