Nauza line za M-pesa

Nauza line za M-pesa

Brother James

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
233
Reaction score
172
Nina line ya biashara ya mpesa na kwa mtu yeyote atakaye hitaji kuuziwa tuwasiliane. Nikikuuzia nitakupatia line zote mbili za m-pesa na kukupa mafunzo jinsi ya kutumia m-pesa kwa atakaye hitaji.
Kutokana na kukua mtaji mimi nimenunua machine za kuuzia mpesa,luku,airtel money,tigopesa,na malipo mengineyo ambapo siihitaji hii line ya mpesa kwa sasa kwani ,achine imenirahisishia kabisaaa
 
Braza James unayo na ya tigo pesa?
 
Ninayo ya tigopesa ina mwezi na nusu haina tatizo lolote nicheki kwa no 0657809282
 
machine gani hiyo mkuu yenye Huduma zote 😕
 
Back
Top Bottom