Ahmad Mussa
Member
- Oct 21, 2011
- 46
- 19
Haipo katika hali mzuri kwani Iligonga mti na kuharibika show ya mbele kioo na Rejeta
Sio Pickup Original Lakini imekatwa kwa ustadi Mkubwa sana na kuwa Pickup,
Engine ni Petrol main 3, Ina Distributor ya 'magneto'
Inatembea kwani iligonga mti Msituni umbali wa Km 64 kutoka kijijini Nanjilinji, Iliweza kufika
Yenyewe Lakini kwa rejeta ya Kuazima Inahitaji kunyooshwa kwa mbele, Rejeta na kioo cha
Mbele.
Bei ni mil 3 hakuna maongezi ya Bei.
PICHA KABLA YA KUGONGA MTI SIMU:
0778012287
0758469333
Sio Pickup Original Lakini imekatwa kwa ustadi Mkubwa sana na kuwa Pickup,
Engine ni Petrol main 3, Ina Distributor ya 'magneto'
Inatembea kwani iligonga mti Msituni umbali wa Km 64 kutoka kijijini Nanjilinji, Iliweza kufika
Yenyewe Lakini kwa rejeta ya Kuazima Inahitaji kunyooshwa kwa mbele, Rejeta na kioo cha
Mbele.
Bei ni mil 3 hakuna maongezi ya Bei.
PICHA KABLA YA KUGONGA MTI SIMU:
0778012287
0758469333