Nauza Kuku wa kienyeji

Nauza Kuku wa kienyeji

Kaputula La Marx

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
562
Reaction score
500
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nauza kuku wa kienyeji.

Napatikana Shinyanga, kwa mlioko nje ya shinyanga naweza kukusafirishia mzigo iwapo tutafukia makubaliano. Kwa mawasiliano zaidi njoo PM.
 
Hakuna bei, atawafikiae wateja, tangazo la kitapeli sana, ukiogopa kuweka bei basi wewe hujiamini kwenye biashara..
 
Umeshindwa kuweka picha hata ya kuku mmoja ..??
 
Aweke vitu vifuatavyo
1. Picha ya aina ya kuku alionao
2. Namba ya Simu
3. Shinyanga eneo analopatikana maana shinyanga ni kubwa kuanzia Kahama, Msalala, Kishapu, Manispaa, Shinyanga Vijijin
 
Aweke vitu vifuatavyo
1. Picha ya aina ya kuku alionao
2. Namba ya Simu
3. Shinyanga eneo analopatikana maana shinyanga ni kubwa kuanzia Kahama, Msalala, Kishapu, Manispaa, Shinyanga Vijijin
Nipo Kahama
Mamba ya simu karibu PM

Screenshot_20171110-110645.png
 
mkuu ungeweka bei Mfano kama wanatofautiana , sema wanaanzia being hii mpaka hii!

Unao wangapi? kwasababu hiyo picha yako umeonyesha mmoja tena amefungwa kamba means wapo wachache?

Jifunze kushawishi watu kwenye vitu kidogo kidogo hivyo mkuu
 
Back
Top Bottom