Naomba nikushauri kitu japo umeshatoa angalizoNauza kitanda changu(bila godoro) size ni 5*6 ni mbao ngumu. Nimenunua miezi 3 tu iliyopita kwa sh 170,000 mtu akija na 130k namuachia. Sina simu ya kupigia picha ila bado kipya,location kigamboni dar.
Hali imekuwa mbaya,itanisaidia wakati nasubiri hata kibarua(naamini nitapata soon kwa uwezo wa Mungu).
Kama sio mnunuzi sio lazima sana ucomment,you may want to reserve your ink for future use. ASANTENI NA KARIBUNI
Dada hii roho itakuharibia ndoaNi kizuri sana hasa hii langi yake
sio langi ni rangi. Pia nimeomba kwamba sina smartphone nashindwa kupiga picha ila bidhaa ni mpya na iko poa.Ni kizuri sana hasa hii langi yake
sio langi ni rangi. Pia nimeomba kwamba sina smartphone nashindwa kupiga picha ila bidhaa ni mpya na iko poa.
Asante kwa comment pia
Aise😂Ni kizuri sana hasa hii langi yake
Ni sawa mkuu na nimevumilia sasa hadi kula ni mtihani, nawezaje kusubiri tena bila kula? Inauma lakini ndio hivyo, naamini soon itakuwa sawaNaomba nikushauri kitu japo umeshatoa angalizo
VITU VYA NDANI KAMWE HAVIUZWI KUTATUA MATATIZO!
Ukianza na kimoja hutaacha na matatizo hayatakwisha.. Ukiweza vuta subra kidogo...KUTAPAMBAZUKA...!!!
Naomba nikushauri kitu japo umeshatoa angalizo
VITU VYA NDANI KAMWE HAVIUZWI KUTATUA MATATIZO!
Ukianza na kimoja hutaacha na matatizo hayatakwisha.. Ukiweza vuta subra kidogo...KUTAPAMBAZUKA...!!!
Hili nalo litapita.. Utashangaa kitanda kinaweza kisiuzike na bado ukatoboa.. Mungu wetu daima hawezi kufunga milango yote.. Kuna mmoja atauacha wazi! Ni kutulia tu ili uweze kuuona!Ni sawa mkuu na nimevumilia sasa hadi kula ni mtihani, nawezaje kusubiri tena bila kula? Inauma lakini ndio hivyo, naamini soon itakuwa sawa
aisee pole sana kamandanawezaje kusubiri tena bila kula?
Asante mkuuPole sana...
Simu yoyote yenye uwezo wa kuingia jf basi pia ina camera na inatoa picha fresh, huwez kuingia jf na kitochi.sio langi ni rangi. Pia nimeomba kwamba sina smartphone nashindwa kupiga picha ila bidhaa ni mpya na iko poa.
Asante kwa comment pia
What if kaingia kwa PCSimu yoyote yenye uwezo wa kuingia jf basi pia ina camera na inatoa picha fresh, huwez kuingia jf na kitochi.