Nauza kioo cha Samsung J 7 Pro

Nauza kioo cha Samsung J 7 Pro

Dr Matola PhD

Platinum Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
61,508
Reaction score
108,887
Simu tajwa hapo juu ina miezi mitatu tu imeingia maji, warranty haifanyi kazi kww case za mishandling gharama za matengenezo naona ni bora ninunuwe simu nyingine, sasa nimeona ni heri nipate nusu hasara kuna vitu ni vizima kabisa humu kwenye hiyo simu.

Karibuni wote kwa mwenye kuhitaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom