Tabrett
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 522
- 338
Nmejizuia kucheka muda mrefu lakini kwako nmejikuta nakwama...huu uzi kama unasikitisha hivi lakini nashangaa nacheka tu,
haya maisha hapana
Nmejizuia kucheka muda mrefu lakini kwako nmejikuta nakwama...huu uzi kama unasikitisha hivi lakini nashangaa nacheka tu,
haya maisha hapana
Muuzaji mkali huyo. Ama kweli buku 4 haijawahi kumwacha mtu asiyejulikana salamahahahahaha haua mkuu all the best
So kind of you...Mkuu, kama sababu ya kuliuza ni kupata hiyo pesa, naomba unipe namba yako ya simu pm nikununulie wewe mwenyewe hilo jaba. Ila kama unaliondoa kwa sababu tu hulihitaji ama unahitaji nafasi iliyolikalia, hakuna neno. Sisi wote ni watz na hii ni nchi yetu. Niko serious kabisa.
Kakataa kutoa contactsHilo jaba limekwamia wapi?
Nimekufata pm umenipotezeaAcha uongo wapi umeomba hizo contacts.
Wewe mwenyewe unaona hali ilivyo hapa kuna vichaa wengi.
Angalia isije ikawa ulipotea njia...Nimekufata pm umenipotezea
Kwahiyo ndo imekula kwangu au utaninunulia sehemu nyingine?Kakataa kutoa contacts
Nafanya mchakato akuletee. Hili ndo zuri, ni imaraKwahiyo ndo imekula kwangu au utaninunulia sehemu nyingine?
Aisee we ni noma.Habari wana jamii.
Nauza Jaba la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita 60.
Nilikuwa nahifadhia maji kwa ajili ya matumizi ya ndani kama kunywa,kupikia nk.
Rangi nyeusi
Nimetumia muda mfupi.
Bei ni Tsh4,000
Napatikana Ubungo.
Nichek PM
Kama hujaona hiyo pmMuogope mungu.
Njoo sasahivi maana mimi sijaona hio pm
hakuna namna tuongeze tu siku za kuishiNmejizuia kucheka muda mrefu lakini kwako nmejikuta nakwama...