Nauza heka moja Tabata Kinyerezi-mil 30

Nauza heka moja Tabata Kinyerezi-mil 30

dbelive

Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
26
Reaction score
3
Nauza kiwanja cha heka moja kipo Tabata Kinyerezi unashuka Kinyerezi Magengeni au stendi ya zamani kutoka hapo mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 kwa chombo cha moto dakika, kuna barabara ya gari mpaka kwenye kiwanja na kuna umeme hapo hapo kwenye kiwanja, kiwanja tulianza taratibu za kupima lakini hatukumaliza kutokana na fedha eneo ni tambalale bei ni milioni 30 kwa maelezo zaidi piga 0714 11 44 53.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauza kiwanja cha heka moja kipo kinyerezi unashuka kinyerezi magengeni au stendi ya zamani kutoka hapo mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 kwa chombo cha moto dakika 7,kuna barabara ya gari mpaka kwenye kiwanja na kuna umeme hapo hapo kwenye kiwanja,kiwanja tulianza taratibu za kupima lakini hatukumaliza kutokana na fedha eneo ni tambalale bei ni milioni 30 kwa maelezo zaidi piga 0714 11 44 53

Sent using Jamii Forums mobile app
bei nzuri kama hakina migogoro
 
Nauza kiwanja cha heka moja kipo kinyerezi unashuka kinyerezi magengeni au stendi ya zamani kutoka hapo mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 kwa chombo cha moto dakika 7,kuna barabara ya gari mpaka kwenye kiwanja na kuna umeme hapo hapo kwenye kiwanja,kiwanja tulianza taratibu za kupima lakini hatukumaliza kutokana na fedha eneo ni tambalale bei ni milioni 30 kwa maelezo zaidi piga 0714 11 44 53

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mlishaanza kupima inamaana baadhi ya details zenu zinajulikana na vyombo husika vya upimaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu, heka moja kwa bei hiyo kinyerezi, sio mchezo!

njoo inbox
 
Ni ndogo au nyingi
Ndogo Sana mwamba.
Mpaka nakua na mashaka moyoni!
Ungesema 100m nisingekua na mashaka,but 30m ni kama lileeeee janga la kitaifa "utapeli"
But bcoz ni awamu ya viwanda,maybe unataka kuanzisha kakiwanda kako na wewe.
 
Nipo Kinyerezi aisee hiyo bei. Ndogo mno.
 
Mnapenda vya bei kubwa... Na sizani kuna ata Mnunuzi Mmoja anayelalamika bei Ndogo....ata angeamua kuuza elfu kumi ni chake...kama Mnunuzi Wa kweli fika hakikisha yanayostaili kuhakikiwa then nunua sio kufanya watu wapandishe bei kwa matakwa yenu kwa jinsi monavyo nyinyi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom