dbelive
Member
- Feb 27, 2014
- 26
- 3
Nauza kiwanja cha heka moja kipo Tabata Kinyerezi unashuka Kinyerezi Magengeni au stendi ya zamani kutoka hapo mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 kwa chombo cha moto dakika, kuna barabara ya gari mpaka kwenye kiwanja na kuna umeme hapo hapo kwenye kiwanja, kiwanja tulianza taratibu za kupima lakini hatukumaliza kutokana na fedha eneo ni tambalale bei ni milioni 30 kwa maelezo zaidi piga 0714 11 44 53.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app