dbelive
Member
- Feb 27, 2014
- 26
- 3
- Thread starter
- #21
Ndiyo kakaKama mlishaanza kupima inamaana baadhi ya details zenu zinajulikana na vyombo husika vya upimaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo kakaKama mlishaanza kupima inamaana baadhi ya details zenu zinajulikana na vyombo husika vya upimaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia mfaham kwamba kinyerezi kuna red lines baadhi ya maeneo,asiende mtu kichwa kichwa bila kufuatilia.
Mama yangu mdogo alijifanya kujua na kununua nyumba,ikala kwake
asante kwa taarifaMkuu tupe taarifa za kueleweka hiyo Red lines ndio kitu gani?Pia mfaham kwamba kinyerezi kuna red lines baadhi ya maeneo,asiende mtu kichwa kichwa bila kufuatilia.
Mama yangu mdogo alijifanya kujua na kununua nyumba,ikala kwake
vp mkoani unatuma?mi nataka [kununuaila nipo geitaNauza kiwanja cha heka moja kipo Tabata Kinyerezi unashuka Kinyerezi Magengeni au stendi ya zamani kutoka hapo mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 kwa chombo cha moto dakika, kuna barabara ya gari mpaka kwenye kiwanja na kuna umeme hapo hapo kwenye kiwanja, kiwanja tulianza taratibu za kupima lakini hatukumaliza kutokana na fedha eneo ni tambalale bei ni milioni 30 kwa maelezo zaidi piga 0714 11 44 53.
Sent using Jamii Forums mobile app
baadhi ya maeneo hapo yako kwenye reserve ya tanesco.Mkuu tupe taarifa za kueleweka hiyo Red lines ndio kitu gani?
...we mpemba ulijifia,Pia mfaham kwamba kinyerezi kuna red lines baadhi ya maeneo,asiende mtu kichwa kichwa bila kufuatilia.
Mama yangu mdogo alijifanya kujua na kununua nyumba,ikala kwake
Unamaana kwamba ni yale maeneo yaliyokaribu na line kubwa ya tanesco?baadhi ya maeneo hapo yako kwenye reserve ya tanesco.
Hahaha,nipo mkuu...we mpemba ulijifia,
..yani umejifufua kuja kufanya uchawi kwenye biashara ya mtu!
Ya mambo ya sheild= genuine