Mkuu mi nahitaji contena 3 nipo SingidaSalaam Wakuu,
Mimi ni mkulima wa matunda ya strawberry kutoka Morogoro..
Nauza kuanzia containers 15@4000...kwa bei ya jumla .na 5000kwa bei ya rejareja!ukitoa oda ndo naenda shambani..
Matunda ya strawberry yana faida nyingi sana mwilini
:-Ni NATURAL VIAGRA
:-yanapunguza uono hafifu
:-yanarekebisha kwa kiwango kikubwa sukari na presha mwilini
!:- nzuri kwa mifupa
:-mazuri sn kwa kupunguza mwili
Hayo ni baadhi tu!!
Karibuni sana...
Wasiliana nami kupitia no 0713969633,0685799697