Nauza fresh Strawberry

Nauza fresh Strawberry

Salaam Wakuu,
Mimi ni mkulima wa matunda ya strawberry kutoka Morogoro..
Nauza kuanzia containers 15@4000...kwa bei ya jumla .na 5000kwa bei ya rejareja!ukitoa oda ndo naenda shambani..
Matunda ya strawberry yana faida nyingi sana mwilini
:-Ni NATURAL VIAGRA
:-yanapunguza uono hafifu
:-yanarekebisha kwa kiwango kikubwa sukari na presha mwilini
!:- nzuri kwa mifupa
:-mazuri sn kwa kupunguza mwili
Hayo ni baadhi tu!!
Karibuni sana...

Wasiliana nami kupitia no 0713969633,0685799697
Mkuu mi nahitaji contena 3 nipo Singida
 
Strawberry zinanikumbusha mbali na baby wangu. Mambo ya kulishana.unachovya kwenye cream.lisha nikulishe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom