Nauza fresh Strawberry

Nauza fresh Strawberry

Salaam Wakuu,
Mimi ni mkulima wa matunda ya strawberry kutoka Morogoro..
Nauza kuanzia containers 15@4000...kwa bei ya jumla .na 5000kwa bei ya rejareja!ukitoa oda ndo naenda shambani..
Matunda ya strawberry yana faida nyingi sana mwilini
:-Ni NATURAL VIAGRA
:-yanapunguza uono hafifu
:-yanarekebisha kwa kiwango kikubwa sukari na presha mwilini
!:- nzuri kwa mifupa
:-mazuri sn kwa kupunguza mwili
Hayo ni baadhi tu!!
Karibuni sana...

Wasiliana nami kupitia no 0713969633,0685799697
Mkuu hii biashar bado unaendeleza?

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Mi naweza kukutumia uliko.... ila mi niko mkoani .... na nitakuwa nasafirisha kwa ndege....

Mimi nitakuuzia kwa kilo moja
Elf 30.
Gharama za usafiri kwa ndege ni juu yangu....
Zitakufikia kwa wakati na ubora sahihi..


Kama uko serious njoo inbox tufanye business...
Nina uwezo wa kutoa zaidi ya kilo 50-100 kwa wiki.

Niko umbali wa km 1000 toka dar.
Karibu.

Miche pia nauza mmoja elfu 3.
Mbegu hauwez kuziotesha.... mi nimefanya hii kazi miaka 7 now ila nimeahindwa kuotesha mbegu.


Sent from "La -Vista"
Kafungue uzi wako utangaze ndo wabongo mlvyo mwenzio akiuza vtumbua na ww unaenda uza pemben yake.. Et nasafrsha kwa ndegeeee?
 
Kafungue uzi wako utangaze ndo wabongo mlvyo mwenzio akiuza vtumbua na ww unaenda uza pemben yake.. Et nasafrsha kwa ndegeeee?
Unanuna nin hakuna mnunuzi humu..... biashara hata zikifanana kawaida tu la msingi msirogane na muwe na mbinu.....

Sent from "La -Vista"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom