Kalamu Nzito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 318
- 662
Natafuta Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani Dodoma. Nina Dagaa nyama kutoka Tanga kilo za kutosha nahitaji kupata wanunuaji.
Mwenye namba za Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani DODOMA anisaidie tafadhali.
Mwenye namba za Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani DODOMA anisaidie tafadhali.