Onyix
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 682
- 793
Kama Kichwa hapo juu kinavyo jieleza.. Nauza Bucha ya samaki iliyo kamilikia, ina frizeer ft 4, Meza 3, radio, mzani wa digital na vifaa vyote vinavyo vinavyohitajika kwenye Bucha ya samaki.. Bucha lipo Dodoma.. Kwa Mtu yeyote mwenye uhitaji anicheck DM kwa maelezo zaidi...