Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,715
- 32,494
Waungwana natumai mko poa na wiki imeanza vizuri. Nauza gari tajwa hapo juu kwa bei ya kitanzania rahisi kabisa shilingi milioni saba.
Sababu za kuuza ni kuwa hii gari imekaa tu haitumiki, mimi sipo Dar na hakuna wa kuitumia, sasa ni bora kuiuza.
Kwa atakaye vutiwa nayo hebu twende pm.......
Sababu za kuuza ni kuwa hii gari imekaa tu haitumiki, mimi sipo Dar na hakuna wa kuitumia, sasa ni bora kuiuza.
Kwa atakaye vutiwa nayo hebu twende pm.......