Nauza Blender na Rice cooker zote bado mpya

Nauza Blender na Rice cooker zote bado mpya

Asante nimeipata inapiga kazi vizuri wali dk 15 tu umeiva..ngoja nianze kuchemshia makande niende sawa na wapangaji unit zangu ziende kihalali..
Ugali c unapikia humu
View attachment 1621307
[emoji23][emoji23][emoji23]wakomeshe hao nunua na jiko la umeme na pressure cooker unapikia humo makande au maharage maana kupanga na uonewe umeme mwingi hvo
 
Aisee ahsante kwa kushukuru, hiyo I'd yako ni kweli unatafuta matibabu?? Unaumwa nini? Polee
Ndio nina tatizo la kiafya ambalo tunaweza kuliweka kwenye kundi la Walemavu.

Kutokana na hali yangu ya kiuchumi kuyumba nimeamua niishi nalo kama tunavyoishi na Korona hadi pale hali ya kiuchumi itakapotengamaa ingawa sijui itakuwa lini
 
Ndio nina tatizo la kiafya ambalo tunaweza kuliweka kwenye kundi la Walemavu.

Kutokana na hali yangu ya kiuchumi kuyumba nimeamua niishi nalo kama tunavyoishi na Korona hadi pale hali ya kiuchumi itakapotengamaa ingawa sijui itakuwa lini
Pole sana mkuu, unamaanisha ni tatizo linaloweza tatulika ikiwa pesa itakuwepo? Dah🙄🙄
 
Back
Top Bottom