Mkuu Yaani unauza simu alafu unasema interested akutafute kwa mail!!!!!!! . Naona unafanya maisha ya wanunuaji wa hiyo simu yawe magumu kama maombi ya kazi.
Kama unawasi wasi na privacy zako nunua chip mpya weka kwenye hiyo blacberry unayouza waandikie watu number za kukupata hapa. Tena hii thread ilitakiwa kule kwenye matangazo madogp madogo
Hii ni sawa na kutangza biashara ya gari kwa kutumia baiskeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.