dancher
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 205
- 243
Ndugu Wana jamvi nikiwa Kama kijana nimeanzisha biashara yangu ya uuzaji asali mbichi ya nyuki wakubwa na wadogo na inapatikana kwa ujazo wowote utakao hitaji kuanzia nusu litre na kuendelea na Bei yake ni nafuu Sana Kama wanajamii wenzangu naombeni uungwaji mkono wenu ili kufikia adhma yangu, asali ninaivuna mwenyewe kupitia mizinga yangu ikiwa unahitaji au una fahamu makampuni au maofisi yanayo hitaji naomba uwasiliane nami kupitia simu no 0762111630 napatikana Dar es salaam maeneo ya keko. Aksanteni