dancher
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 205
- 243
Ndugu Wana jamvi nikiwa Kama jina nimeanzisha mradi wa ufagaji nyuki na kwa Sasa nimeanza kuvuna asali napatikana maeneo ya keko Dar es salaam lakini natuma mzigo wa asali mahala popote naombeni support yenu na kwa yeyote anaye hitaji kiasi chochote kile Cha asali anicheki kupitia namba ya simu 0762111630 hii ni asali mbichi original ya nyuki wakubwa kwa yeyote yule atakaye hitaji naomba tuwasiliane.