Winga wa Kila kitu mpaka nguoNauza ac ya hisence used still new btub18000 kwa bei ya kutupa
Wazee huu ndio msimu wa joto sasa usikubali ofa kama hii ikupite hii ni ac dual inveter btu 18000, nimeitumia kwa miezi 9 na sababu ya kuuza nahamia kwangu so seble ni kubwa zaidi nafunga kubwa zaidi ya btu 23000 so kwa mwenye uhitaji wa hii anicheki chap nauza kwa sh 690,000 tu mpya dukani ni sh 1,300,000 wahi nikutestie ikupulize hapa ukirizika nakushushia uondoke nayo nahama tarehe 17
Ac ni Dual inveter inanusa umeme tu
Napatikana Kigamboni
View attachment 3514363View attachment 3514364
Mawinga wana crown na wanaishi apartments mbweni, AC ni kama sabufa tu mkuuMshamba kweli ww ac nimefunga kwangu ushaona winga analala na ac ww
Dukani zipo mpaka za laki 5Sawa
500k tuongee biashara chiefWinga bibi yako
😅😅😅Winga bibi yako
Bado ipi?Nauza ac ya hisence used still new btub18000 kwa bei ya kutupa
Wazee huu ndio msimu wa joto sasa usikubali ofa kama hii ikupite hii ni ac dual inveter btu 18000, nimeitumia kwa miezi 9 na sababu ya kuuza nahamia kwangu so seble ni kubwa zaidi nafunga kubwa zaidi ya btu 23000 so kwa mwenye uhitaji wa hii anicheki chap nauza kwa sh 690,000 tu mpya dukani ni sh 1,300,000 wahi nikutestie ikupulize hapa ukirizika nakushushia uondoke nayo nahama tarehe 17
Ac ni Dual inveter inanusa umeme tu
Napatikana Kigamboni
View attachment 3514363View attachment 3514364
Bado ipo?Nauza ac ya hisence used still new btub18000 kwa bei ya kutupa
Wazee huu ndio msimu wa joto sasa usikubali ofa kama hii ikupite hii ni ac dual inveter btu 18000, nimeitumia kwa miezi 9 na sababu ya kuuza nahamia kwangu so seble ni kubwa zaidi nafunga kubwa zaidi ya btu 23000 so kwa mwenye uhitaji wa hii anicheki chap nauza kwa sh 690,000 tu mpya dukani ni sh 1,300,000 wahi nikutestie ikupulize hapa ukirizika nakushushia uondoke nayo nahama tarehe 17
Ac ni Dual inveter inanusa umeme tu
Napatikana Kigamboni
View attachment 3514363View attachment 3514364
Mkuu AC zote zinaanzia 9000btu ambayo ni 1HP then 12000btu ambayo ni 1.25HP,then inakuja 18000btu ambayo ni 1.5HP na kuendelea.....Ya laki 5 hiyo ni btu 3000 ambayo inapuliza kama feni ac bei inaenda kwa ukubwa usitegemee chumba ukaweka ac ndogo ukapata ubaridi
We jamaa, ulinifunza kitu. Nimehangaika mpaka leo nikajua kuwa kumbe triple inverter ac ni Full DC inverter.Inverter ni aina gani duo au tripple..?