The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,063
- 115,462
Huu mwaka 2011 nahisi ndo mwaka mbaya kuliko wote...
kwa ujumla wake.......nahisi watu wengi wana hamu na mwaka mpya 2012 uje haraka...lol
hebu tazama haya tu
1.tsunami ya japan wamekufa maelfu
2.machafuko middle east wamekufa mamia...
na mengineyo meengi
hapa Tanzania....
1.gongo la mboto...wamekufa wengi
2.ajali ya boti zanzibar-wamekufa wengi nahisi ndo ajali kubwa kuliko zote
3 na mwisho mvua kubwa kuliko zote tangu uhuru na watu wengi wamekufa dar....
sikumbuki mwaka uliokuwa na mabalaa mengi kama huu
achilia mbali kupanda kwa gharama za maisha na bei za vyakula......
kila mtu unamsikia analalamika masuala ya fedha.....
waliokuwa wanaenda benki once per week sasa wanaenda benki hata mara tatu kwa wiki...
utasema kuna 'mapepo' yanatusaidia matumizi lol...
wanasema odd number kama 11 inakuwaga ngumu na even number kama 12 ni nzuri zaidi
so mwaka 2012 unadaiwa utakuwa nafuu na mzuri kwa wengi......
mimi nakumbuka mwaka 1992 na mwaka 2002 ilikuwa miaka mizuri sana kwangu na kwa ujumla
naamini mwaka 2012 utakuwa mzuri au better kulinganisha na mwaka 2011.....
happy new year woote.....karibu sana 2012............oaoaoaoa
kwa ujumla wake.......nahisi watu wengi wana hamu na mwaka mpya 2012 uje haraka...lol
hebu tazama haya tu
1.tsunami ya japan wamekufa maelfu
2.machafuko middle east wamekufa mamia...
na mengineyo meengi
hapa Tanzania....
1.gongo la mboto...wamekufa wengi
2.ajali ya boti zanzibar-wamekufa wengi nahisi ndo ajali kubwa kuliko zote
3 na mwisho mvua kubwa kuliko zote tangu uhuru na watu wengi wamekufa dar....
sikumbuki mwaka uliokuwa na mabalaa mengi kama huu
achilia mbali kupanda kwa gharama za maisha na bei za vyakula......
kila mtu unamsikia analalamika masuala ya fedha.....
waliokuwa wanaenda benki once per week sasa wanaenda benki hata mara tatu kwa wiki...
utasema kuna 'mapepo' yanatusaidia matumizi lol...
wanasema odd number kama 11 inakuwaga ngumu na even number kama 12 ni nzuri zaidi
so mwaka 2012 unadaiwa utakuwa nafuu na mzuri kwa wengi......
mimi nakumbuka mwaka 1992 na mwaka 2002 ilikuwa miaka mizuri sana kwangu na kwa ujumla
naamini mwaka 2012 utakuwa mzuri au better kulinganisha na mwaka 2011.....
happy new year woote.....karibu sana 2012............oaoaoaoa